Nikikumbuka tulikotoka, ugumu wa maisha kisiasa na uhalisia wa maisha ya mtu mmoja mmoja, nashawishika kumkubali Samia hadharani bila hata haya wala soni.
Watanzania tuna mengi ya kuridhika kupitia huyu mama kwa kuangalia rekodi za hapo nyuma, ambapo watu wengine waliishi kwa hofu, kutokana...
Mfano mzuri wa changamoto ya Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Songwe ni Idara ya Macho ambayo kiukweli haina utulivu kabisa. Mgonjwa anaambiwa aje Saa 2:00 Asubuhi kwa ajili ya operation, analazimika kusubiri kwa zaidi ya Saa 6 huku akiwa hajui kinachoendelea.
Akiingia chumba cha upasuaji, kelele...
Yawezekana mazingira ya kufanya biashara ya safari za ndege nchini kwa wakati ule ilikuwa ngumu, ndio maana fastjet wakaondoka, lakini kwa sasa nchi imetulia, na nimekuwa nasikia wawekezaji wa nje wanakaribishwa nchini kuwekeza.
Basi na Fastjet wahakikishiwe usalama wa biashara yao ili warejee...
Nikikumbuka bunge la Spika Sitta, hoja nzito za akina Lissu, Mbowe, Lema, Kabwe na wengine wengi waliokuwepo bungeni kipindi kile, unaona tofauti kubwa iliyopo kati ya bunge la wakati ule na hili la sasa.
Wabunge wa upinzani walikuwa wanajenga hoja mbadala nzuri na za kusisimua sana. Ni lazima...
Mfumo wake wa kutawala,na mtazamo wake juu ya watu, ulipelekea shida nyingi sana kwa watu.Inawezekana alikuwa na dhamira njema kinadharia na kufikirika zaidi lakini kiukweli hali ilikuwa mbaya sana.
Alikuwa na wasomi wachache lakini hawakujiamini mbele yake maana hakupenda mawazo...
Hivyo ndivyo tulivyo.Yalianza zamani za miaka ya 70's,watu walichomewa miji yao ili wahamie vijiji vya ujamaa.Baada ya miaka michache, watu wengine wakapewa tena yale maeneo na maisha yanaendelea bila kuhoji.
Kuna kipindi viongozi waliwapitisha watu kwenye maisha ya ajabu sana kuogea sabuni...
Siasa za vile,na uchaguzi wa namna ile,haifai kabisa katika ulimwengu wa leo.Lazima watu wawe tayari kukubali mabadiliko kwa vitendo na bila hofu kabisa.
Uchaguzi wa kisiasa unatakiwa kuwa huru bila mizengwe yoyote,kwa sababu vyama vyote vipo kwa ajili ya ustawi wa watu.
Wapo viongozi wa kisiasa nchini mwetu,ambao wanaonekana kuguswa sana na matatizo ya mtu mmoja mmoja na hivyo kupenda kuwasikiliza hadharani kwenye mikutano yao ya kisiasa.
Hutokea watu wachache wakapata nafasi ya kujielezea shida zao,na kiongozi hutoa maelekezo na hivyo kuonekana shujaa kwa...
Niko huku mkoani Songwe Mbozi,naomba msaada kwa anaewajua mafundi wazuri wa mafridge huku tafadhali.
Fridge halipozi kabisa.Kuna fundi njaa alikuja kadai ni gesi imeisha,kajifanya kujaza lakini tatizo liko palepale.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.