Hapa Moshi kaimu Mkuu wa Mkoa aliyesitaafu aliwaita TPC wajieleze kulikoni sukari hakuna madukani.....alishangaa kuambiwa uzalishaji ni kama kawaida na bei ya kiwandani ni shs 72000. Mchezo uko kwa mawakala
nakubaliana nawe hapo kwa Mwakwusa lakini Magufuli hukumtendea haki. Magufuli ni mchapa kazi muwazi na mkeli. Ndio aina ya kiongozi anayehitajika TZ sasa hivi
nakubaliana nawe hapo kwa Mwakwusa lakini Magufuli hukumtendea haki. Magufuli ni mchapa kazi muwazi na mkeli. Ndio aina ya kiongozi anayehitajika TZ sasa hivi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.