Kosa la David Mwakyusa ni nini?

Kosa la David Mwakyusa ni nini?

Kwani yeye alipaswa kuwa waziri wakati? Lazima aachie wengine nao wale keki hiyo
 
Ametemwa kwakuwa mh. Raisi hakuona sababu za kumteua.
 
Bonge la contradiction. Yaani mmoja yuko genuine akafukuzwa na mwingine ni genuine akabakishwa kwenye cabinet. Mnachoshindwa kuelewa ni kwamba service in the cabinet ni kwa ridhaa ya appointing authority. Hata kwa kuzingatia regional or geographical balancing, kuteua mawaziri wawili kutoka wilaya moja as if mkoa mzima hauna wenye sifa ilikuwa ni issue ambayo ilihitaji kutazamwa upya.
<br />
<br />
Mbona kombani na mponda wanatoka wilaya moja? Au hujui?
Hivi waziri anayetoka Kigoma ni nani vile?
 
its just a matter of time!His time iz over apishe wengine
 
ningali natafakari

nakubaliana nawe hapo kwa Mwakwusa lakini Magufuli hukumtendea haki. Magufuli ni mchapa kazi muwazi na mkeli. Ndio aina ya kiongozi anayehitajika TZ sasa hivi
 
ningali natafakari

nakubaliana nawe hapo kwa Mwakwusa lakini Magufuli hukumtendea haki. Magufuli ni mchapa kazi muwazi na mkeli. Ndio aina ya kiongozi anayehitajika TZ sasa hivi
 
Mpanda ngazi Hushuka, wailopo kwenye madraka leo ngoja 2015, watahaha sana kwani kiama kinawangoja, watahukumiwa kwa maovu yao ,soma mienendo ya nyakati, usisubili muda kufika. chenye mwanzo kina mwisho, lakini mwisho hutofautiana kulingana na BUsar, Hekima na UTU DUNI wa mtu. subiri muda si mrefu utaona haya kwa macho yako mola akikujaalia. Usimtendee mwenzio ubaya, kwani ubaya hulipwa hapapa. (kumbuka hayo. fainali uzeeni?)
 
Kosa lake ni lile lile lililofanya Prof. Mark Mwandosya kuenguliwa kwenye kuwania urais because ni too genuine. Prof. Mwakiyusa ni very genuine, humble na down to earth vitu ambavyo JK havipendi. Yaye na Mwandosya sio watu wa kujikombakomba, hivyo kuonekana viburi. Magufuli pia ni mzuri yuko very practical, tatizo lake ni kupenda masifa mno hadi kufikia kufanya baadhi ya maamuzi kwa masifa ili kujikombakomba kwa JK, matokeo yake baadhi ya maamuzi yake yataicost nchi hii bilions!.

Ukiwa too genuine CCM wanakuona sio mwenzao, wao wanapenda mambo ya kiunafiki nafiki tuu!. Wale ambao sio wanafiki mwisho wao ndio kama ya Mwakyusa!.

Nataka niamini unayosema kwa asilimia 98 ila huyu waziri wa sasa Mponda bado naye namuona ni muadilifu kwa kiasi fulani ila ana tatizo la kujikomba kwa JK au naye ana ubia gani na ufisadi?
 
Bonge la contradiction. Yaani mmoja yuko genuine akafukuzwa na mwingine ni genuine akabakishwa kwenye cabinet. Mnachoshindwa kuelewa ni kwamba service in the cabinet ni kwa ridhaa ya appointing authority. Hata kwa kuzingatia regional or geographical balancing, kuteua mawaziri wawili kutoka wilaya moja as if mkoa mzima hauna wenye sifa ilikuwa ni issue ambayo ilihitaji kutazamwa upya.
Mimi tetesi nilizosikia ni kwamba baada ya mkulu kuanguka katika mwanzo wa kampeni zake, Mwakyusa alitaka madaktari wa rais (Dr. Janabi) wamwambie mheshimiwa anaumwa nini. Kama nilivyosema, ni tetesi, sina uthibitisho.
 
Mimi tetesi nilizosikia ni kwamba baada ya mkulu kuanguka katika mwanzo wa kampeni zake, Mwakyusa alitaka madaktari wa rais (Dr. Janabi) wamwambie mheshimiwa anaumwa nini. Kama nilivyosema, ni tetesi, sina uthibitisho.
Jaman,mavi ya kale hayanuki, hivi huyu mkuu ni nini hasa kilimsibu,hadi kupigwa chini? Nimekutana naye kona fulani, nikajiwa na tashwishwi ya kulikoni ,labda nikadhani ni mzee wa visasi alimpiga panga..
 
Kosa lake ni lile lile lililofanya Prof. Mark Mwandosya kuenguliwa kwenye kuwania urais because ni too genuine. Prof. Mwakiyusa ni very genuine, humble na down to earth vitu ambavyo JK havipendi. Yaye na Mwandosya sio watu wa kujikombakomba, hivyo kuonekana viburi. Magufuli pia ni mzuri yuko very practical, tatizo lake ni kupenda masifa mno hadi kufikia kufanya baadhi ya maamuzi kwa masifa ili kujikombakomba kwa JK, matokeo yake baadhi ya maamuzi yake yataicost nchi hii bilions!.

Ukiwa too genuine CCM wanakuona sio mwenzao, wao wanapenda mambo ya kiunafiki nafiki tuu!. Wale ambao sio wanafiki mwisho wao ndio kama ya Mwakyusa!.
Nina imani utayakana haya uliyoyasema kuwa JPM ni mtu wa MISIFA
 
CCM haitaki watu wenye akili , inataka magalasa au vichaa wanaopima urefu wa samaki hata kwenye mchuzi
 
Nina imani utayakana haya uliyoyasema kuwa JPM ni mtu wa MISIFA
Mkuu Kidadari, nimeyakana, sio mtu wa misifa, ni mtu low profile, very humble, down to earth.
Umeridhika?.
Tuendelee na maisha.
P.
 
Back
Top Bottom