Naomba yatokee haya Tanzania...

Naomba yatokee haya Tanzania...

1.Wanafunzi wawachape viboko walimu kila wanapoingia darasani ili wasiingie kabisa.
2.wanafunzi wote wanaomaliza form six waingie vyuoni kuchukua digrii hata kama amepata ziro
3.Watumishi wote wa umma wanyang'anywenyumba na kuhamia kwenye mahema kama wahanga wa gongo la mboto
4Ianzishwe wizara itakayo deal na vigogo na familia zao waziri riz 1 naibu waziri januari makamba katibu mkuu nape nnauye
5.ukumbi wa bunge ugeuzwe kuwa cinemax na muvi mpya zote zinazotengenezwa na kina kanumba zioneshwe huko bure
6.Watoto waruhusiwe kuanza darasa la kwanza wakiwa na miaka mitatu
7.Bidhaa zote zinazoingia nchini zisilipiwe kodi na bidhaa zinazozalishwa nchini ziongezewe kodi maradufu
8.Tanesco ibinafsishwe kwa rostam aziz
9.Mama salma kikwete awe waziri wa fedha
10.Mahakama zote nchini zivunjwe wezi ,wauwaji ,wabakaji waachiwe wanachi waamue
Yakitokea haya tutakuwa na ccm imara
 
Halafu maji yakosekane kabisa dar watu wakae bila kuoga...wanajeshi wasilipwe mshahara...
 
ikulu kuwe na sehemu ya disko kama bills. maana mkuu kwa totoz si unajua tena
 
Yote hayo ya nini? Umeme uzimike katikati ya michezo ya mpira wa miguu. Utasikia kelele zote uzozihitaji
 
halafu police waishiwe viatu hadi wavae kandambili,wabunge wawe wanakusanywa kweenda bungeni kwa maroli yale yanaobeba wafungwa,matokeo ya mitihani wote wapate zero,Tanzania isiwe na ndege hata hiyo ya rais iuzwe kwa tsh laki 5,wale wanaobomolewa nyumba kwa shughuli mbali mbali wasipewe hata sh 10,wazee w asipewe pensheni hata sh 10,bandari ya dar es salaam wawape barrick waiendeshe,bidhaa ikivuka mkoa ilipiwe kodi kama ilivyo zanzibar na tanganyika.hapo ndo watu watatia akili.mia
Aaaah, Police marufuku kuishiwa. maana wakiishiwa hawa jamaa raia ndo tutakayekoma. Watakuwa wanaangalia tu nyumba wanayoona ina unafuu wanavamia wanasema unahisiwa jambazi. Unakaa ndani kama siku tatu hivi hadi ukung'ute hela yote uliyonayo. watakuwa wanamkamata yeyote aliyevaa vizuri humo njiani ili awape chochote. Watatuomba lunch kwa sana, halafu tukikataa tutatishiwa kusingiziwa makosa. Watawatuma vibaka wakusanye simu zetu ili hela wagawane. Haya yanafanywa na polisi hivi sasa ambapo wana unafuu wa maisha, je wakiishiwa?

Wanafunzi pia wasipate ziro, manake wakipata ziro hatutafaidika chochote zaidi ya kuwa na kizazi cha wajinga. Walimu waishiwe, ilii wagome lakini watoto wetu tunataka wafaulu. Na ukumbuke kwamba ukiombea watoto wafeli, basi watakaofeli ni watoto wa walala hoi na si watoto wa walala hai. Maana ni watoto wa walala hoi ndio wanaosoma kwenye shule ambazo mwalimu wake analipwa na serikali.

Lakini zaidi ya yote, ninyi ni kuku tu, tangu lini dua lenu likampata mwewe. Endeleeni tu kuomba hizo dua na katu hazitakaa zitokee na wala hayo mapinduzi hayatatokea kwa kutegemea hizo bahati nasibu. Cha msingi kila mmoja mahali pake kama anaona anapunjwa au anaonewa kwa namna yoyote ile basi achukue hatua. Ili mapambano yaanze na si kusubiri eti yatokee mabaya zaidi. Maana nayo yana kero zake.
 
...mgao wa umeme uwe saa moja mara moja kwa wiki. Kusiwe na madawa hospitali hata haya yasiyotosha sasa yawe machache zaidi, waalimu na manesi wapigike zaidi na wakulima wapigike zaidi. Labda hapo ndipo wenye imani bado na magamba watatia akili
Mkuu unakosea. Hata umeme uzimike kwa siku 364 na uwepo mara moja kwa mwaka, hao hao wanaopigika ukija uchaguzi wakishapewa kofia na khanga magamba yanapeta huku wakitumbuizwa na concert za akina Afande sele etc.Tumerogwa
 
haya maovu yaliopo watu hawajifunzi na hawakomi,bado wanaona ccm mali.basi tunaombea matatizo yazidi asiwepo wa kumtembelea mwingine yaani watu wa kanda ya ziwa wawe wanapelekwa kwa minyororo kuchambua pamba india.halafu mtwara barabara zilizopo zote zibomoke na mifugo ya wamasai iongezeke mara mia,baada ya miaka mitano jk amkabidhi kingunge ngumbali mwiru urais.ndo magamba watatia akili kwani matatizo yaliyopo wenyewe wanaona poa.
 
Hata kama kuna tofauti za kiitikadi, acheni kuliombea mabaya Taifa lenu, sote kwa pamoja tumuombe Mungu atusaidie ili viongozi wawe na hofu ya Mungu, hilo tu linaweza kumfanya kiongozi akaongoza vizuri kwa msaada wa Mungu
 
Naomba barabara zote ziwe za vumbi,na mvua inyeshe miezi mitatu mfululizo dar to dodoma wik 1,
 
Mimi naomba uchunguzi unafanywa sasa hivi kuhus Jairo waseme 'hakufanya kosa' na arudhishwe kazini hata kama atapewa idara/wizara nyingine. It will be good for the country!

Mkuu hivyo ndivyo itakavyo kuwa tukumbushane tu mwisho wa hii picha ya Jairo.
 
Wote mmeongea upumbavu
you have just missed the mickey out of our government

hahahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa... JF ni kiboko, kuwanza tu hivi lazima kuna ujinias fulani au fyuzi moja mbili zimeblow

duh
 
ningependa itokee siku moja kila mtu awe mbunge, tuwe na rais awe hajzidi miaka 14
 
1. Wabunge wote wa magamba wafe ghafla na kj! 2. Wazungu, waarabu na waindi wote wafukuzwe hapa tz.
3. Vyuo vikuu vyote vya tz vifungwe milele
4. Madaktari wote wawe mahakimu na mahakimu wote wawe madaktari bila kwenda kusoma yoyote
5. Niwe waziri mkuu.
 
Back
Top Bottom