Recent content by tupendane1

  1. T

    Wilfred Lwakatare: Mrejesho kutoka mahabusu Segerea

    Ndugu yangu Lwakatale,pole sana.Hakika Mungu ajua walio wake.Tanzania yetu ilipofika ni ya hatari na yakutisha.Vijana wameanza kujutia kuzaliwa Tanzania.Wakati ajira za vinana zinamezwa na MAFISADI kwa kutuibia rasirimali zetu,kuuza viwanda na kuvifunga,Serikali inayojiita SIKIVU inayowajali...
  2. T

    Mwigulu Abuni Vazi Jipya la CCM

    CCM wanafurahisha kweli kama siyo kukera,jamaa wanacopy na kupaste bila hata kuedit,wangekuwa ni chuo CCM ilishadico zamani.Sasa hivi kufikiri kwao ndo kumekwisha kinachobaki ni kuvopy na kupaste yale yanayobuniwa na wapinzani.Hapa tuache unafiki,upinzani wanaumiza vichwa sana ili kuonyesha...
  3. T

    CHADEMA haitalipa kisasi-Dr Slaa

    Kwa kweli mimi nimechoka na nimechoka hizi siasa za Tanzania.Unaweza jutia kuzaliwa Tanzania ambapo kusema uongo na kuusimamia wenzako wanakushangilia,lakini tutakwenda wapi?Yatupasa kuipigania nchi yetu ili pale haki inapostahili ipatikane. CCM wanatapatapa,hakuna cha maana wanachokifanya.Sasa...
  4. T

    Sasa Nimeamini JF ni kila kitu, hatimae am in a relationship!!!

    Hongera sana tena sana mkuu.Mungu kasikia kilio chako,mpende na mpendane mpaka pale Mungu atakapowatenganisha. Best wishes in your relation.
  5. T

    Mpenzi wangu anataka kuniacha kisa siwezi kazi

    Ndugu wana JF, Nakumbuka ilikuwa tarehe 6/2/2013 nilipoleta tatizo kwenye jukwaa hili kuhusiana na mpenzi wangu kutaka kuniacha kisa siwezi kumridhisha(zaidi ya goli moja).Nawashukuru sana tena sana,hakika nakubaliana na usemi usemao MFICHA UCHI HAZAI.Nilifuatilia kwa umakini mchango wa kila...
  6. T

    Swali Kwa Mnyika/Mdee-Barabara za Tegeta-Goba,Chuo Kikuu Ardhi-Makongo-Goba,Goba-Mbezi?

    Ndugu wana JF, Imekuwa ni kawaida Serikali kutenga kiasi kikubwa cha pesa kwenye bajeti ili kuuridhisha umma kuhusiana na maswala ya maendeleo.Mfano, mwaka jana Serikali ilitenga kiasi flani cha fedha(sikumbuki vizuri) ili kuboresha barabara za Dar es Salaam zikiwapo barabara za Tegeta...
  7. T

    Walimu kupongezana kwa matokeo mabovu ya wanafunzi ni uzalendo?

    Ndugu zangu,katika vitu ambavyo hutakiwi kuwekea mzaha ni elimu.Mwalimu ni zaidi ya fani ya aina yeyote,bahati mbaya kwa nchi yetu Elimu haipewi kipaumbele kimatendo ila ni maneno tu ya wanasiasa wetu. Viongozi wetu wameonyesha nia ya dhati kuua watanzania si kwa bunduki bali kwa kuwanyima haki...
  8. T

    Rais Kagame Kamteua Mtanzania kuwa waziri

    Mara nyingi nimekuwa naamini kuwa hapa JF wote ni GREAT THINKERS,kumbe si wote, kazi ipo. Kwa wale mliobahatika kutembea katika nchi yetu,tembelea mikoa ya mwanza,kagera,Kigoma,utakutana na watu wengi wenye sura kama za ndugu yetu. Sina hakika wale wanaokimbilia kuhukumu kuwa yeye ni MTUSI...
  9. T

    Anne Makinda: Hoja binafsi marufuku kuanzia sasa!

    Ee Mungu,okoa Tanzania na watanzania wote,mbona viongozi wetu wanalewa madaraka kiasi hicho na bado tunajivunia kuwa na amani.Amani gani ambayo hairuhusu mwakilishi wa wananchi kutoa hoja alizotumwa bungeni.Wananchi wenyewe tumeshazibwa mdomo mapema.Lakini watanzania hatuna budi kujilaumu...
  10. T

    Mpenzi wangu anataka kuniacha kisa siwezi kazi

    Ndugu wana JF,Naomba msaada wenu wa mawazo katika hili. Mimi ni kijana mwenye miaka 28.Kwa bahati nzuri au mbaya nimekuwa busy sana na shule na sasa nikahic nitafute mwenza wa kuweza kuishi naye.Bidii hizo zikazaa matunda karibu mwaka mmoja uliopita. Mwezi uliopita akaja kunitembelea na katika...
  11. T

    Hodi wana Great thinkers

    Nimekuwa nafuatilia kwa umakini zaidi ya miaka miwili mtandao huu wa Great thinkers,hakika nimeukubali na nimeamua rasmi kujiunga ili nami niweze kuwa nachangia mada mbalimbali.Hakika huu ni mtandao wa waliojaa hekima na welevu wa hali ya juu. Naomba mnikaribishe kwa mikono miwili. Mungu Ibariki...
Back
Top Bottom