Inahuzunisha sana kwa kweli hasa hilo la watu kupewa kesi zisizo zao. Nani wa kuwasaidia watu hawa? Kumbuka leo ni kwa mwingine lakini kesho waweza kuwa ni wewe!! Pole Lwakatale kwa yaliyokufika.
Yes, ninakubaliana na wewe kwa upande mmoja. Uzoefu unapatikana kwa kutenda na Lwakatare ameyaona kwa macho yake na kuyatenda baadhi ya mambo aliyoyaelezea katika article yake, lakini pia ninapatwa na kigugumizi kununua yote aliyoyasema kama ni kweli kwa sababu ya nature ya swala zima na muhusika ambaye ndiye mleta article.Cunning? NO. I insist experience can never be imitated, it is personal and factual. To be cunning you are concealing the truth for a purpose like the other side is doing. Our government is cunning? YES because they say what they do not do, and do what they do not say.
Mkuu, Kama ulivyosema, nimegonga LIKE.Karibu
Gonga thanks sasa kuna kitufe hapo
safi sana, makala nzuri mno.
kama ni kusafishwa basi Shekhe Ponda kwa mara ya kwanza leo amesafishwa vilivyo, nimeanza kurudisha imani kwa mbaali juu ya shekhe Ponda, bado natafakari.
Jamaa si mjinga kama unavyofikiri, hajamgusi Ludo wala kesi yakeMakala inavutia kuisoma.Umeandika kwa hisia sana,huku ukitafuta kuonewa huruma.Vipi kuhusu mshirika wako mloshitakiwa pamoja,Ludo kijana wa nyumbani?Ina maana hamjaonana kabisa huko selo?Nilitegemea ungemzungumzia kidogo kwenye hii taarifa yako.