Nikiwa kama Mtanzania wa kawaida kabisa nachukua fursa hii kuwapa ushauri tu mjitafakari kuna sehemu mmejikwaa na hama hama hii ya wabunge wenu ipo siku mtajikuta hamna mbunge hata mmoja na ndio itakua mwisho wa CHADEMA.CHADEMA badilikeni mambo yanayosemwa semwa ndani ya chama chenu yawezekana...
Wewe ni mjinga kama hajui jambo hutakiwi kuzungumza na uongo wako haukusaidii chochote sana sana unaonekana mjinga,Pinda kaenda JAPANI kumuakilisha RAIS Kwenye mkutano na si ziara yake ya kujipangia unaelewa wewe mbumbu
ukweli ni kwamba sumbawanga kata zilizokuwa zinarudia uchaguzi ni 3 na sumbawanga inakata 11 Lakin ambazo hakufanya uchaguzi ni Tatu na ndzo zilifanya uchaguzi ili kukamilisha na CCM imeshinda kwa 70% sumbawanga mjini ila vyombo vya habari vimepotosha ukweli kama mtu anabisha afuatilie ila...
Mbona jambo hili liko wazi kabisa kwamba Rais ajae ni Pinda ingawa watu huwa wakiambiwa wanakuja propaganda nyepesi kabisa mara ni mtu wa kulialia Lakin ukweli Upo wazi kabisa Pinda ni Rais anaesubilia kuapishwa
Tatizo watu Bado hawajui tu ila ukweli ni kwamba Rais ajae ni Pinda najua watu watabisha sana ila ukweli ndio huo, Pinda alikuwa hana mpango na Urais ila Marais wastaafu ni aliepo madarakani ndio walio mshawishi agombee ngoja Muda ufike ndio mtakumbuka maneno yangu
Pinda ni kiongozi atabaki kumikali katika Taifa la Tanzania,kwanza Ni kiongozi ambae hakulupuki katika kutoa maamuzi Ni kiongozi mwenye misimamo mikali ni mkweli ambae hadanganyi na hawezi kusema kitu ambacho hana uhakika nacho na hata Kwenye sakata la ESCROW aliposema fedha ile ilikuwa sio ya...
Tetesi ambazo zimeanza kuzagaa na ambazo zimetoka katika source ya kuaminika ndani ya IKULU inasema Rais ameamua kulifanyia mabadiliko makubwa Baraza la mawaziri na taarifa hizo zinasema Mawaziri wote ambao walikuwa wakifanya hampeni kubwa ya kuiangusha serikali katika sakata la ESCROW sasa...
Unajua watu bado hawamjui vizuri Pinda ila nadhani taratibu watamjua,watu wengi wanamjua tu kwa kazi yake ya Usalama wa Taifa lakini bado hawamjui nini alifanyia Taifa katika Utumishi wake toka Enzi hizo mpaka sasa ,lakini ngoja niwafahamishe kitu kingine alichofanyia Taifa wakati wa vita vya...
Kusema ukweli jamaa anajua nimetoka kuicheki video ya wimbo wake mpya Unaoitwa NITAMPATA WAPI ambao umetoka kupigwa muda si mrefu kwenye kituo cha TV cha TRACE video yake imesimama kweli kweli na ukichanganya na modal wake wa kizungu ipo vzuri sana ila ameniudhi tu vituo vya bongo vya TV na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.