The Khoisan
JF-Expert Member
- Jun 5, 2007
- 15,394
- 12,978
Sasa Pinda haoni aibu kuwa alishiriki kuwaandikia katiba nzuri Namibia kitu ambacho huwa anajisifia kila siku. Lakini, Akiwa kama Waziri Mkuu ameshindwa kuwa influence CCM kutuandikia katiba ya maana! Kwa ujumla kumlinganisha Hage na Pinda ni kama kulinganisha mafuta na maji !!