and 998 others
JF-Expert Member
- Jun 27, 2012
- 28,007
- 39,194
Kwa mara ya kwanza toka kuumbwa kwa ulimwengu huu. Mkoa wa Katavi unatarajia kutoa Rais wa Jamhuri ya Muungano. Hili ni jambo jema na la kutia moyo kwa wana Katavi wote hivyo mnaombwa tukutane pale MSIMBAZI CENTRE tarehe 28.06.2015 (JUMAPILI) kuanzia saa 9 mchana kumuunga mkono Mwana Katavi mwenzetu. Kwa Mawasiliano zaidi wasiliana na Mwenyekiti wa Maandalizi 0719116360.KUFIKA KWAKO MAFANIKIO YA SHUGHULI HII NYETI