Nikiwa kama Mtanzania wa kawaida kabisa nachukua fursa hii kuwapa ushauri tu mjitafakari kuna sehemu mmejikwaa na hama hama hii ya wabunge wenu ipo siku mtajikuta hamna mbunge hata mmoja na ndio itakua mwisho wa CHADEMA.CHADEMA badilikeni mambo yanayosemwa semwa ndani ya chama chenu yawezekana yana ukweli kaaeni chini mchunguze alafu mtafute suluhu,naamini mimi kuna tatizo ndani ya chama na mkibaki na akili kwamba kila anae hama kanunuliwa chama ndio kinafutika hivo mtakumbuka shuka asubuhi huku chama ndio kimeshajifia itabaki kila mtu kuchukua kilicho chake.Asanteni ulikua ni ushauli tu.