Hata kwa Tanzania kwa sasa hivi embryo za aina zote za ng'ombe wa maziwa zinapatikana ikiwemo na hawa grilando . embryo moja ni million moja hadi million na laki mbili
Una elimu gani ya kijeshi ,tuanzie hapo kwanza. Maana naona kama hujui mbinu za kijeshi ila unataka watu wakuelewe. Bro soma sana ujue night attack kwa nini hutumika
Wa
Wanaokuushambuli kwa hujui chochote kwa sababu unaharibu biashara zao. Wazazi wengine nao badala wafatilie nao wanakushambuli,basi endeleeni kulipa Hela mtashituka kumesha kucha
Natafuta mwalimu wa shule ya msingi wa kubadirishana kituo Cha kazi .Mimi Niko wilaya ya sengerema.nabadirishana na mwalimu aliye wilaya ya kilombelo au ifakara .namba yangu ni 0683 694 088
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.