Asee nami ninahangaika kuingia US, Canada, Norway na Finland. Nimecheza Sana Dv lottery, Na Express entry ya Canada Ila bado.huu ni mwaka wa tatu sijatimiza ndoto zangu. Ingawa elimu yangu iko chini Sana.Nina diploma ya famasia. Kama kuna connection yeyote ile niunge asee. Nitakushukuru Sana.
Wewe ulitaka ununue bei gani? Jiulize ulishawahi kulima? Mbolea unajua unauzwa bei gani? Unajua mbegu ya mahindi inauzwaje? Unajua nguvu kazi ya kulima sasa gharama imepanda kiasi gani? Ifike hatua mtuonee huruma wakulima. Yaan tunahangaika kulima Ila mnanunua kwa bei chee tena kwa masimango...
Ila mbona mara nyingi mpenzi ndio hupanda daraja na kuwa mke?
Kuna ndoa nyingi tu zilianza kwa mmoja kusema ngoja niwe nae kwa muda wakaishia kwenye ndoa.
Kwa uhalisia mahusiano ya sogea tukae,yaani kuishi kinyumba kimya kimya halafu wakaja kubariki ndoa baadae,hudumu zaidi kuliko hizo za...
Huwa natumia long range kwa ajili ya matumizi ya muda mrefu,nina mipango ya muda mfupi na mingine endelevu,marafiki zangu asilimia kubwa wakija mkoa ninaoishi kwa sasa iwe wamekuja kwa semina,msiba au harusi lazima wanitafute tudumishe urafiki wetu.
Kuna mmoja walizinguana na Mme wake akaja...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.