Mwl.RCT
JF-Expert Member
- Jul 23, 2013
- 13,564
- 18,589
Hili nalo neno!Nikajifunza kama simpendi mtu haina haja ya kumtaka awe rafiki yangu.
Hili nalo neno!Nikajifunza kama simpendi mtu haina haja ya kumtaka awe rafiki yangu.
Mkuu hiyo ni long range. Yaani kichwa cha chini kinasubiri tu?, yote ya nini wakati kuna short range and you can hit on target easily.Mi huwa nawakubalia kinyonge waniweke friend zone huku nina jambo langu moyoni,akiniamini kama rafiki anaanza kuniambia kasoro za mtu wake nazifanyia kazi yaani kama hamjali mi ninajitahidi kumjali,yaani najitahidi kumfunika aliyenae,mwisho wa siku lazima aliwe kimasihara na akiingia kwenye JamiiForums' Community Engagement Guidelines | Mwongozo wa Ushiriki kwenye Mijadala zone yangu hachomoki,nina rafiki zangu wa kike walishaolewa hata waume zao wananifahamu na mke wangu anawafahamu ila tukipata upenyo tunapasha kiporo.
Sometimes things are twisted than we think....Hi guys,
Kikawaida na mara nyingi mwanaume ndio wanakuwa wahanga wa kuwa friendzoned na wanawake ambao wana hisia nao za kimapenzi. Na wanawake tunayo tabia ya kuwa friendzone wanaume ambao wameshaonesha hisia za kimapenzi kwetu lakini hatujavutiwa nao kama wapenzi.
Mbali na kuwakataa kama wapenzi tunaona they are obligated to keep being our friends na ikitokea tofauti basi unakuta tunaanza kulalamika “Fulani mbona siku hizi haunipigii, umenigaya siku hizi n.k”
Nimewahi kuambiwa kwamba mwanaume anayemweka mwanamke kwenye friendzone anaweza kuwa gay, sasa wanaume wakaamua kuja na "zone" yao ambayo ni fuckzone. Mwanaume ukiwa na hisia naye za kimapenzi na kama hakupendi yeye hakuweki friendzone (ni makosa) bali anakutupia kwenye fuckzone au anakuacha kabisa.
Akikuweka kwenye fuckzone kila mkikutana ni sex tuu lakini hakupendi na hataki ubaki kwake kama rafiki yake tu. Huwa inauma sana pale unampenda mwanaume lakini yeye anakuona kama fucking material, na sio mtu anayeweza kuwa na mahusiano na wewe.
Je, ulishawahi kumweka mtu kwenye frienzone licha ya kuonesha hisia zake za kimapenzi juu yako? Ipi ilikuwa sababu ya kutaka au kumfanya awe rafiki yako na sio mpenzi wako?
Je, ulishawahi kuwekwa kwenye friendzone na mwanamke au mwanaume unayempenda? Ulijisikiaje? Je, ulikubali kuwa kwenye friendzone au uliamua kumfuta kabisa kwenye maisha yako?
Vipi ulisha-fuckzone na mtu yoyote, ulijisikiaje ulipogundua kwamba hakuwa anakupenda? Na wewe kwanini uliamua kumweka kwenye fuckzone na siyo kumkubali kama mpenzi wako? Ipi ni mbaya kati ya friendzone na fuckzone?
Yangu hii, I met this guy licha ya kunionesha hisia zake juu yangu niliamua kumwomba awe rafiki yangu, he walked away with no further word, kwa kweli sikutamani kumpoteza nilitamani abaki kwenye maisha yangu, nikawa nampigia namtext hapokei wala hajibu until he told me he just couldn’t be around me because it was too painful. Nikajifunza kama simpendi mtu haina haja ya kumtaka awe rafiki yangu.
Karibuni.
Kakumbuka shuka kumekuchaHuwa natumia long range kwa ajili ya matumizi ya muda mrefu,nina mipango ya muda mfupi na mingine endelevu,marafiki zangu asilimia kubwa wakija mkoa ninaoishi kwa sasa iwe wamekuja kwa semina,msiba au harusi lazima wanitafute tudumishe urafiki wetu.
Kuna mmoja walizinguana na Mme wake akaja kwangu nikamfariji na kumpa pole za kutosha,siku namsindikiza kwenda kwao aliniambia anajuta kwa kuniweka friend zone amekuja kugundua mi ni type yake wakati na mi nimeshaoa.
As a Man, I have a hard time trying to be friend with a girl I am sexually attracted to. Wakati huko namwona eti yupo na mwanaume mwingine na mimi nacheka tu?.
Kuna huyo mmoja aliniweka friendzone nikaachana naye. Kasikia nimeoa akaanza wivu na kujidai kaumia. Alidhani I would stay single and parsue her forever. Sasa hivi nimeoa na nimemweka kwenye fuckzone maana ndipo anapostahili.
Unatakiwa kutiwa risasi ya mk#ndMi huwa nawakubalia kinyonge waniweke friend zone huku nina jambo langu moyoni,akiniamini kama rafiki anaanza kuniambia kasoro za mtu wake nazifanyia kazi yaani kama hamjali mi ninajitahidi kumjali,yaani najitahidi kumfunika aliyenae,mwisho wa siku lazima aliwe kimasihara na akiingia kwenye JamiiForums' Community Engagement Guidelines | Mwongozo wa Ushiriki kwenye Mijadala zone yangu hachomoki,nina rafiki zangu wa kike walishaolewa hata waume zao wananifahamu na mke wangu anawafahamu ila tukipata upenyo tunapasha kiporo.
Nadhani nimekuelewa vizuri sana mkuuHuwezi kutembea na muwa kama fimbo siku nzima au
Kuweka toothpick mdomoni siku nzima halafu usiitafune