Dkt. Mwakyembe Kuongoza Uchunguzi Malalamiko ya Mtihani wa Law School

Mkuu DenooJ, Mm nimemaliza Lst na nimebahatika Kufanya kazi Hapo Lst, Watt Wa Sasa hawasomi Kabisa.
.
Na tarifa nilizonazo Kati ya hao 26 waliofaulu, 22 ni Wafanyakazi Wa Taasisi za Umma the least ni Wanaotoka vyuoni.
.
So angalia jinsi watt wenu ambavyo hawasomi wako busy na Starehe Tu

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Sasa wewe uliosoma unaandika "the least" ?
 
Hongera kwa kuelezea ukweli. Miaka hii vijana hawataki kusoma kabisa.

Katika kipindi cha hii miaka ya karibuni (nimeshastaafu) tulikuwa tukipokea graduates kutoka vyuo mbali mbali pale kazini. Kuna baadhi ya ya vijana mpaka unajiuliza hivi imekuwaje huyu amefaulu hii degree? Shida siyo hiyo tu, yaani anajifanya anajua sana na hata ukimuelekeza basi ni mtihani mtupu.
Wewe kama mwalimu wa LST ulichukua hatua gani kuwaboreshea ubongo hao ambao ulikuwa unajiuliza chuo wamefauluje! Acha egoism we mama
 
Mkuu DenooJ, Mm nimemaliza Lst na nimebahatika Kufanya kazi Hapo Lst, Watt Wa Sasa hawasomi Kabisa.
.
Na tarifa nilizonazo Kati ya hao 26 waliofaulu, 22 ni Wafanyakazi Wa Taasisi za Umma the least ni Wanaotoka vyuoni.
.
So angalia jinsi watt wenu ambavyo hawasomi wako busy na Starehe Tu

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Acha kuongea uongo hapa mwnyw nimepita LST nilikamatwa but nikazichomoa second sitting! Hayo masuala ya kusema wanafunzi hawasomi ni uongo! Hakuna lecturer yoyote wa LST hapa atakayekiri madudu yanayofanyika pale....nasema hivyo kwa sababu nimepita hapo na nina uzoefu wa kutosha. Kama una hoja za msingi lete hapa tujadili........
 
Waziri wa Katiba na Sheria, Dk Damas Ndumbaro amemteuwa Dk Harison Mwakyembe kuwa Mwenyekiti wa kamati ya watu saba ili kutafuta chanzo cha kufeli kwa wingi katika mitihani ya mafunzo ya Uanasheria kwa Vitendo (LST).

Kuundwa kwa tume hiyo kumekuja baada ya kelele za wananchi kufuatia hoja iliyoibuliwa na gazeti la mwananchi kuhusu kiwango cha idadi ya waliofeli mtihani wa mwisho kwa elimu ya vitendo katika taasisi hiyo.

Waziri amesema kamati hiyo itakabidhiwa hadidu rejea na Kàtibu Mkuu wa Wizara hiyo, Mary Makondo kesho Oktoba 13, 2022 na itafanya kazi kwa siku 30. "Baada ya hapo, Mwenyekiti wake atakuja hadharani kutoa taarifa kwa waandishi kuhusu walichobaini lakini muamini kamati ina watu wenye weledi mkubwa sana," amesema Dk Ndumbaro.


----
Waziri wa Katiba na Sheria, Dk Damas Ndumbaro amemteuwa Dk Harison Mwakyembe kuwa Mwenyekiti wa kamati ya watu saba ili kutafuta chanzo cha kufeli kwa wingi katika mitihani ya mafunzo ya Uanasheria kwa Vitendo (LST).

Wajumbe wengine katika kamati hiyo ni Jaji Mstaafu Cililius Matupa aliyewahi kuwa mshauri wa rais Dk Jakaya Kikwete, Rashid Asaa ambaye ni Mwenyekiti wa Tume ya Maadili ya Viongozi wa Umma wa Zanzibar.

Wengine ni Gloria Kalabamu, Makamu wa Rais wa Chama cha Wanasheria Tanganyika, Alice Mtulo, Wakili mwandamizi kutoka Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali, Mary Mniwasa, Kaimu Mtendaji Mkuu wa Dar Stock Exchange na John Kaombwe ambaye ni Mwanafunzi aliyehitimu LST.

Hayo yamebainishwa leo Jumatano Oktoba 12, 2022 na Waziri wa Katiba na Sheria, Dk Damas Ndumbaro alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari kuhusu sakata la kufeli katika Taasisi ya Mafunzo ya Uanasheria kwa Vitendo Tanzania (LST).

Kuundwa kwa tume hiyo kumekuja baada ya kelele za wananchi kufuatia hoja iliyoibuliwa na gazeti la mwananchi kuhusu kiwango cha idadi ya waliofeli mtihani wa mwisho kwa elimu ya vitendo katika taasisi hiyo.

Waziri amesema kamati hiyo itakabidhiwa hadidu rejea na Kàtibu Mkuu wa Wizara hiyo, Mary Makondo kesho Oktoba 13, 2022 na itafanya kazi kwa siku 30.

"Baada ya hapo, Mwenyekiti wake atakuja hadharani kutoa taarifa kwa waandishi kuhusu walichobaini lakini muamini kamati ina watu wenye weledi mkubwa sana," amesema Dk Ndumbaro.

Hata hivyo amesema takwimu za miaka ya nyuma zinaonyesha shule hiyo imekuwa ikifaulisha kwa kiwango cha wastani wa asilimia 81.

Chanzo: Mwananchi
Mwakyembe amefeli kabla hajaanza. Ukimuona kwa mbali na zile suti Zak na mawani utadhani umekutana na mbobezi wa Sheria.

Mwakyembe hakuna kitu cha maana amewahi fanikisha zaidi ya mbwembwe za kuwa na degree 4. Mfano ni ripoti ya Richmond na kingine ni treni za Dar kutoka kwa yule mhuni wa Marekani. Mwakyembe ni FEKI
 
Mwakyembe amefeli kabla hajaanza. Ukimuona kwa mbali na zile suti Zak na mawani utadhani umekutana na mbobezi wa Sheria.

Mwakyembe hakuna kitu cha maana amewahi fanikisha zaidi ya mbwembwe za kuwa na degree 4. Mfano ni ripoti ya Richmond na kingine ni treni za Dar kutoka kwa yule mhuni wa Marekani. Mwakyembe ni FEKI
Mwakyembe hana hamu na Lissu kabisa. Kuna kipindi Lissu alimwonyesha alivyo empty kichwani.
 
Mambo. LST ni chuo cha law sasa lazima kufurahisha wote waliochaguliwa ni wanasheria. Hata huyo aliepita hapo sio mwanafunzi tena. Ni muhimu kuwa na uwakilishi wa wanafunzi. Wangeweka at least 2, mkaka na mdada.
Pili ni vizuri wangekua pia na mjuzi mambo ya elimu hasa curriculum, assessment na evalution.
Ingependeza pia kuweka mtu mmoja ambae si mwanasheria lakini ana elimu ya kutosha na amebobea kwenye utafiti ( anaweza kuchimba mambo). Hapa tungekuwa na balance nzuri.
 
Kwa hiyo mlitaka kila mtu afaulu? Acheni siasa watu wasome
 
Hongera kwa kuelezea ukweli. Miaka hii vijana hawataki kusoma kabisa.

Katika kipindi cha hii miaka ya karibuni (nimeshastaafu) tulikuwa tukipokea graduates kutoka vyuo mbali mbali pale kazini. Kuna baadhi ya ya vijana mpaka unajiuliza hivi imekuwaje huyu amefaulu hii degree? Shida siyo hiyo tu, yaani anajifanya anajua sana na hata ukimuelekeza basi ni mtihani mtupu.
Hilo ni tatizo la wanafunzi au la walimu wanaowafaulisha?.
 
-Vijana wanataka first sitting ziwe 100
-Dr zakayo lukumay alisema tatizo vyuo vile vya degree pia ni tatizo.
Na maprofesa wa vyuo vya degree wamesema kuwa vyuo vyao havina matatizo yoyote, vinatoa elimu kwa ubora mkubwa tu
 
Mwakyembe haaminiki , hata matokeo ya uchunguzi wa kamati yake hayataaminika na jamii .

Kwa mfano , alipokuwa Mbunge wa Kyela aliwahi kuwaaminisha wananchi wa Jimbo hilo kwamba ATAWATAFUTIA SOKO LA MCHELE WAO NCHINI MAREKANI , lakini hadi anapigwa chini hakuwahi kutimiza ahadi hiyo
Duh ndio uliko fikia kuleta utetezi wa ajabu kwa Jambo serious ,unafananisha law school na Michele kweli duh CDM Kaz ipo kweli
 
Waziri wa Katiba na Sheria, Dk Damas Ndumbaro amemteuwa Dk Harison Mwakyembe kuwa Mwenyekiti wa kamati ya watu saba ili kutafuta chanzo cha kufeli kwa wingi katika mitihani ya mafunzo ya Uanasheria kwa Vitendo (LST).

Kuundwa kwa tume hiyo kumekuja baada ya kelele za wananchi kufuatia hoja iliyoibuliwa na gazeti la mwananchi kuhusu kiwango cha idadi ya waliofeli mtihani wa mwisho kwa elimu ya vitendo katika taasisi hiyo.

Waziri amesema kamati hiyo itakabidhiwa hadidu rejea na Kàtibu Mkuu wa Wizara hiyo, Mary Makondo kesho Oktoba 13, 2022 na itafanya kazi kwa siku 30. "Baada ya hapo, Mwenyekiti wake atakuja hadharani kutoa taarifa kwa waandishi kuhusu walichobaini lakini muamini kamati ina watu wenye weledi mkubwa sana," amesema Dk Ndumbaro.


----
Waziri wa Katiba na Sheria, Dk Damas Ndumbaro amemteuwa Dk Harison Mwakyembe kuwa Mwenyekiti wa kamati ya watu saba ili kutafuta chanzo cha kufeli kwa wingi katika mitihani ya mafunzo ya Uanasheria kwa Vitendo (LST).

Wajumbe wengine katika kamati hiyo ni Jaji Mstaafu Cililius Matupa aliyewahi kuwa mshauri wa rais Dk Jakaya Kikwete, Rashid Asaa ambaye ni Mwenyekiti wa Tume ya Maadili ya Viongozi wa Umma wa Zanzibar.

Wengine ni Gloria Kalabamu, Makamu wa Rais wa Chama cha Wanasheria Tanganyika, Alice Mtulo, Wakili mwandamizi kutoka Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali, Mary Mniwasa, Kaimu Mtendaji Mkuu wa Dar Stock Exchange na John Kaombwe ambaye ni Mwanafunzi aliyehitimu LST.

Hayo yamebainishwa leo Jumatano Oktoba 12, 2022 na Waziri wa Katiba na Sheria, Dk Damas Ndumbaro alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari kuhusu sakata la kufeli katika Taasisi ya Mafunzo ya Uanasheria kwa Vitendo Tanzania (LST).

Kuundwa kwa tume hiyo kumekuja baada ya kelele za wananchi kufuatia hoja iliyoibuliwa na gazeti la mwananchi kuhusu kiwango cha idadi ya waliofeli mtihani wa mwisho kwa elimu ya vitendo katika taasisi hiyo.

Waziri amesema kamati hiyo itakabidhiwa hadidu rejea na Kàtibu Mkuu wa Wizara hiyo, Mary Makondo kesho Oktoba 13, 2022 na itafanya kazi kwa siku 30.

"Baada ya hapo, Mwenyekiti wake atakuja hadharani kutoa taarifa kwa waandishi kuhusu walichobaini lakini muamini kamati ina watu wenye weledi mkubwa sana," amesema Dk Ndumbaro.

Hata hivyo amesema takwimu za miaka ya nyuma zinaonyesha shule hiyo imekuwa ikifaulisha kwa kiwango cha wastani wa asilimia 81.

Chanzo: Mwananchi
Kinachochunguzwa hapa ni Nini wakati wanafunzi wamefeli mtihani!? Labda wachunguzwe walioandaa mtihani huo au wasahihi!
Nchi hii Ina uzembe wa hali ya juu.
Mtihani unatakiwa uwe inafanyika kila.miezi 3 ili.kumuandaa mwanafunzi na pale hafanyi vizuri anapaswa kujirejea alikokosea hadi uke wa mwisho point zinakusanyika. Kweli Sasa hiyo tume inakaa Kwa gharama za Nani??
 
Nimemsikiliza waziri Ndumbaro akitoa maelezo kuhusu hii issue, amesema wanafunzi waliofaulu kwake ni 81% na waliofeli nI 19%, sijaridhika na majibu yake.

Huyu amejumlisha wale wanafunzi waliopata supplementary, akaongezea na waliofaulu [pass], ndio akaja na hiyo percentage ya 81.

Mimi sijui ni wapi hapa duniani mwanafunzi anayepata supplementary uhesabika amefaulu, huyu navyojua mimi hutakiwa kurudia mitihani, sasa iweje anayerudia mitihani ahesabike amefaulu?

Hapo waziri amenishangaza, lakini amenishangaza zaidi aliposema anaunda tume wakati majibu tayari anayo, sasa hiyo tume ameiunda ya nini? this is pure politics.

Ameshacheza na akili za kina Mwakyembe, nao watapita palepale kwenye majibu ya waziri, mwisho wa siku hapatakuwa na badiliko lolote la maana, wanafunzi wa LST wajiandae kufeli kama kawaida.
Kwa ujumla wake mwkyembe Ana roho mbay San lzm atakuja kwa mbwebwe mzee wa degree nne ,wew unadhni kuwa mwakiyembe anatka kuona watu wengine wamemfikia kitaaluma ?
 
Mkuu DenooJ, Mm nimemaliza Lst na nimebahatika Kufanya kazi Hapo Lst, Watt Wa Sasa hawasomi Kabisa.
.
Na tarifa nilizonazo Kati ya hao 26 waliofaulu, 22 ni Wafanyakazi Wa Taasisi za Umma the least ni Wanaotoka vyuoni.
.
So angalia jinsi watt wenu ambavyo hawasomi wako busy na Starehe Tu

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Mm naamini wengi hawasomi wako wanakimbizana na pisi kali
 
-Vijana wanataka first sitting ziwe 100
-Dr zakayo lukumay alisema tatizo vyuo vile vya degree pia ni tatizo.
Mkuu wa Chuo ni Benhajji Shaaban Masoud - huyu ndiye msemaji wa Taasisi, Lukumay anapambania kombe, anakiuka hata taratibu za kitaasisi.
 
Back
Top Bottom