GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,468
- 108,621
Kwa mlundikano wa Makosa ya Mhamasishaji wa Yanga SC na Jeuri zake pamoja na Dharau anazowafanyia Watendaji wa TFF Injinia Hersi Said na hata Watu wa Yanga SC wenye Akili wanajua kuwa kwa Haji Manara kuingia Kwake Mwenyewe katika 18 za TFF na Sekretarieti yake safari hii haponi na anaenda Kufungiwa.
Kwakuwa tayari Injinia Hersi Said ndiyo anaenda kuwa Rais mpya wa Yanga SC (japo Uchaguzi Mkuu wao bado) ila kwa Ukaribu mkubwa wa Haji Manara na Injinia Hersi Said ni kwamba tayari kuna Kitengo Kipya cha Habari na Mawasiliano kimeandaliwa na aliyeandaliwa kuwa hapo kama Mkuu wake ni Haji Manara.
Injinia Hersi Said anajua kuwa endapo Rafiki yake Mkubwa Haji Manara atafungiwa na Kamati ya Maadili ya TFF itampa wakati mgumu wa Kumtafuta Mtu wa kufanya nae Kazi kwani siyo Siri Msemaji wa Yanga SC Hassan Bumbuli hatakiwi na Injinia Hersi Said japo wakikutana Wawili hawa huonyesha wana Mahusiano mema ila wanaojua wanasema ni Paka na Panya ndani ya Yanga SC.
Na endapo Haji Manara hatofungiwa na Kamati ya Maadili ya TFF tutaamini Tetesi zilizopo kuwa hata ile Juzi Injinia Hersi Said alipoambatana na Mhamasishaji wa Yanga SC Haji Manara kuna Ahadi ya Fedha (kutoka GSM) iliahidiwa Kwake Rais wa TFF Wallace Karia na Wajumbe wa Kamati ya Maadili ya TFF kama wasipomuadhibu Haji Manara ambaye Injinia Hersi Said anamhitaji sana katika Sekretarieti yake mpya ya Uongozi ndani ya Yanga SC mara baada ya Kuchaguliwa rasmi kuwa Rais Jumamosi ya Wiki hii.
Hassan Bumbuli anza Kutafuta Ajira ( Kazi ) Kwingineko au rejea pale ulikokuwa kwa muda mrefu kama Mwandamizi MWANANCHI Tabata, ila Injinia Hersi Said akiwa Rais wa Yanga SC rasmi Jumamosi hii ijayo basi jua hutohitajika tena Klabuni.
Kwakuwa tayari Injinia Hersi Said ndiyo anaenda kuwa Rais mpya wa Yanga SC (japo Uchaguzi Mkuu wao bado) ila kwa Ukaribu mkubwa wa Haji Manara na Injinia Hersi Said ni kwamba tayari kuna Kitengo Kipya cha Habari na Mawasiliano kimeandaliwa na aliyeandaliwa kuwa hapo kama Mkuu wake ni Haji Manara.
Injinia Hersi Said anajua kuwa endapo Rafiki yake Mkubwa Haji Manara atafungiwa na Kamati ya Maadili ya TFF itampa wakati mgumu wa Kumtafuta Mtu wa kufanya nae Kazi kwani siyo Siri Msemaji wa Yanga SC Hassan Bumbuli hatakiwi na Injinia Hersi Said japo wakikutana Wawili hawa huonyesha wana Mahusiano mema ila wanaojua wanasema ni Paka na Panya ndani ya Yanga SC.
Na endapo Haji Manara hatofungiwa na Kamati ya Maadili ya TFF tutaamini Tetesi zilizopo kuwa hata ile Juzi Injinia Hersi Said alipoambatana na Mhamasishaji wa Yanga SC Haji Manara kuna Ahadi ya Fedha (kutoka GSM) iliahidiwa Kwake Rais wa TFF Wallace Karia na Wajumbe wa Kamati ya Maadili ya TFF kama wasipomuadhibu Haji Manara ambaye Injinia Hersi Said anamhitaji sana katika Sekretarieti yake mpya ya Uongozi ndani ya Yanga SC mara baada ya Kuchaguliwa rasmi kuwa Rais Jumamosi ya Wiki hii.
Hassan Bumbuli anza Kutafuta Ajira ( Kazi ) Kwingineko au rejea pale ulikokuwa kwa muda mrefu kama Mwandamizi MWANANCHI Tabata, ila Injinia Hersi Said akiwa Rais wa Yanga SC rasmi Jumamosi hii ijayo basi jua hutohitajika tena Klabuni.