sio kila ki2 2napinga bila sababu za msingi wowote!! natamani nikupige :frusty:[VICHWA}!! Kinana yupo sahihi kabisa!! hakuna kuhama,mpaka wananchi walipwe,hajagomesha wanainchi,ila amewaambia,"wasikubali kubomolewa mpaka walipwe kwanza!!! ACHA UZUSHI WEWE!!!
:frusty:
Wewew vipi? kipisi nini!!! ina maana wewe siku zote ulikuwa wanawake wote ni waongo?....natamani hata kukupiga vichwa!!! ina maana wewe unaanza kuwekeza kwa wanawake kabla haujawaonoa!! wewe mfupiii nini/
:hat:Hiyo sheria imekaa poa sana aisee,hata huku TANZANIA inabidi 2iapply,maana,wanawake huku wajifanya wako juu sana kwa ajili ya yale mambo ya BEIJING!!matokeo yake wanawake sasa wawapa shida sana wanaume,,hata unyumba wa2 wanapewa kwa ratiba maalum.....BACK TO NATURE!!!
:A S 12:
Du!! ama kweli,ninaamini kabisa,mpaka nije kuzeeka,i mean nikianza kuface miaka 50{uzee} hali itakuwa mbaya sana,na hakika,hapo ndipo 2takaposhuhudia,yaale maandamano ya TUNISIA!!! ujue hii ni noma 2pu!!! MOYO wangu umevunjika!!
Marehemu NESTA MARLEY{BOB}....aliwahi kutamka kwamba"BILA HAKI,AMANI HAMNA}....sasa iwapo kuna wa2 wanafikiri wanaweza kufanya chochote kwa kuwa wameiweka serikali pamoja na taasisi zake mikononi,hiyo imekula kwao mazima...jana sio leo,na kesho kamwe haiwezi kuwa leo........!!!:cool2:
:bored:Tatizo lake anaongea kama printer"printer ikiwa inaprint,haijui ni nini kimeandikwa nadini yake!" naa, jamaa anatafakari baada ya kuongea,badala ya kuongea baada ya kutafakari"............"DOMO KAYA"
:bored:Tatizo lako brother NAPE....unaongea kama printer,i mean,printer inapoprint,haijui ilichoandika,yenyewe inaproduce tu!!!au kwa maana nyingine,"'badala ya kutafakari ndipo utamke,wewe unatamka ndipo unatafakari!!"...matokeo yake ndo hayo sasa!! KAMATA ULIMI WAKO BRO!!
:bored:Halafu kuna mbunge mmoja anaitwa a.k.a ZUNGU...hivi hilo jina lilitokana na nini,maana limnaendana na biashara yenyewe!!!.....naomba aulizwe histroria ya jina hilo!
ni kweli PINDA ni m2 hatari sana!!!lakini naomba kila m2 afikiri kwa kina hizi silaha wanazomiliki wa2 na kuzikodisha kwa majambazi,je zimeshamwaga damu kiasi gani za ngu ze2?,mimi nilishawahi kuvamiwa na majambazi usiku walikuwa na SMG!"SHUGHULI YAKE USOMBEE"mkeo au mumeo na watoto wako...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.