Kakusanye rambi rambi hizo kisha uchakachue
Yeah nilikuwa POLISI, tena polisi kiburi.
Yaani kwa kifupi kereng'ende kama wewe nilikuwa sipotezi muda.
Kuna kipindi RPC alilalamika kuwa najaza sana jela kwani jela tuliyokuwa nayo ilikuwa ndogo na mimi nilikuwa kwa siku nakamata mbulumundu kama wewe sio chini ya tano.
NACHUKIA WAHALIFU NA WAVUNJAJI WA AMANI KAMA WEWE!
Zamani watu hawakujua haki zao
wataendelea kufa mpaka dunia iishe asanteni sana wana wa mza mza kwa kuanzisha mbio hizi..
Zamani watu hawakujua haki zao
Huko ndiko chadema wanakotupeleka
Nawatakia kila la heri polisi watakaofanya operesheni kamata kamata huko mbeya
NAWAOMBA POLISI WASIACHE HATA JIWE MOJA BILA KULIGEUZA.
PIGA KAMATA FUNGA, ndio dawa
Hii siyo sababu ya kumwaga damu zisizo nahatia. Kwanini wauaji wasimuue yeye diwani zulumati kama kule Mwanza? Walichokifanya ni uendawazimu wa kitelebani kuua watelebani wenzao wasio na hatia badala ya wamarekani wavamizi.Watu wasiojulikana wamewaua watoto wawili,mmoja akiwa ni binti wa kazi wa Diwani wa CCM kata ya Mkingamo wilaya Momba mkoani Mbeya.
Chanzo cha mauaji inasemekana ni dhuluma ya viwanja kwa wananchi wa kawaida.
Habari zaidi zinasema kawadhurumu wananchi viwanja vingi sana,wakati mwingine huuza kiwanja kimoja kwa zaidi ya watu watatu.
Inasemekana hata ukimpeleka mahakamani anakushinda kesi,kifupi ni kuwa mahakama aliiweka mfukoni.
Huu ni ushenzi hao watoto wamekosa nini?Watu wasiojulikana wamewaua watoto wawili,mmoja akiwa ni binti wa kazi wa Diwani wa CCM kata ya Mkingamo wilaya Momba mkoani Mbeya.
Chanzo cha mauaji inasemekana ni dhuluma ya viwanja kwa wananchi wa kawaida.
Habari zaidi zinasema kawadhurumu wananchi viwanja vingi sana,wakati mwingine huuza kiwanja kimoja kwa zaidi ya watu watatu.
Inasemekana hata ukimpeleka mahakamani anakushinda kesi,kifupi ni kuwa mahakama aliiweka mfukoni.
Huko ndiko chadema wanakotupeleka
Nawatakia kila la heri polisi watakaofanya operesheni kamata kamata huko mbeya
NAWAOMBA POLISI WASIACHE HATA JIWE MOJA BILA KULIGEUZA.
PIGA KAMATA FUNGA, ndio dawa