kajamaa{kagame}..iko akili mingi sana aisee!!!,:A S 465:...kana2vizia ka2chape!!!......inabidi 2muwahi 2mchape sisis kwanza!!!miaka inavozidi kwenda ndo kanazidi kujichimbia..ona,kampa uwaziri m2 ambae 2lidhani ni mtanzania,na alisoma bongo kwa fedha ze2..je?nae huyo ameondoka na mangapi?..ok,kuna mjeda mm'ja nae alikimbia jeshi na kukimbilia kigali..je?nae kaondoka na cyndicate gani?na ni kwa nini na sisi 2sipeleleze yeye?..na viongozi we2 wapunguze uzinzi na ulevi,wanaacha wake zao home then wakifika huko wanafanya zinaa kama kawaida!!!lol!!