mokala1989
JF-Expert Member
- May 4, 2013
- 2,236
- 730
Being patient and calm with maximum determination philosophy responses to any matter is only required than insult eruption that been shown out by our neighbor....how can we rate this?....:disapointed🙁over maximum confidence...)
What's behind...???
hamna kinachompa kiburi mkuu zaidi ya ushamba alionao wa kufikiri yeye ni mjanja kuliko mataifa mengine yanayomzunguka na hamna anayeweza kumshauri lililojema. Mbaya zaidi anashindwa kujua ni Tanzania hii hii anayoitukana ndiyo iliyobeba mzigo mkubwa wa wakimbizi wa kinyarwanda kwa miaka zaidi ya 10 tukiwavumilia wakituharibia mazingira yetu, kuchukua kazi nyingi ambazo zingeweza kufanywa na wazalendo, nchi kutumia fedha nyingi kwa ajili ya kufadhili elimu zao n.k . wakati huo kidteta kagame alikuwa akichochea vurugu na mauaji kutokea kwa mjoba ake m7. kagame njoo, come, tutakufundisha kilichomtoa kanga manyoya.