kha kumbe alikuwa ameokoka akumbuke maandiko yanasema hakuna la litakalofichika, yaani yale ya sirini yatakuwa bayana ikiwa ni ya haki au siyo ya haki.
Nadhani wanasahau kuwa wabunge wa kuchaguliwa wameaminiwa na wakazi wa majimbo yao, kuwatoa bungeni kuumiza wakazi wa majimbo hayo na raia kwa ujumla. natamani watanzania wote wafuatilie wabunge wanaoshabikia au kusababisha wenzao kuwa nje ya bunge,hawa ndo wapinga haki za mwananchi wa kawaida...
Hapo ndo tujue kuwa hicho cheo kinahitaji elimu, maana angeweza kujaribu kupitia sababu zote zinazofanya mwanafunzi afeli badala ya kushurutisha maafisa elimu. Mwalimu hafurahii kazi mshahara haukidhi mahitaji ya msingi, hakuna michango, hakuna tuition.wanafunzi wanatoka mazingira magumu hata...
kama Msando hajavunja taratibu sidhani kama ni issue ya msingi sana,ataimaliza na familia yake na viongozi wake wa dini. raia wengine ikiwa hajawahi kuonyesha udhaifu ktk kazi basi tutaendelea kufanya naye kazi. wengi wanafanya aliyofanya na zaidi ya hayo tusikuze kwa sababau yeye ameonekana
kiukweli hii tabia ni mbaya sana, na imeharibu maisha ya watu. mtu anajikuta anaoana na mtu ambaye wanshindwa kwenda sawa kimtazamo wa maisha kwa ujumla kisa wazazi walimpenda mke au mume, matokeo yake ni ndoa kuvunjika au kuishi kwa kukomoana na kudhorotesha maendeleo.wazazi jukumu la kuchagua...
siyo busara hata kidogo kuwasiliana na mke wa rafiki yako bila sababu za msingi. mwambie wazi aache kabisa kuwasiliana na wewe labda tu kwa dharura tena inayojulikana na mumewe.
kwa mtazamo wangu kuna mahali unakosea. nako ni kama ifuatavyo.,
1. umeshirikisha watumishi wa Mungu ni vizuri sana lakini zaidi mshirikishe Rhoho Mtakatifu akufishe namna halisi ya kumjua mke wako na kukuwezesha kuishi kwa amani huku ukifurahia ndoa yako. biblia inasema, ' Enyi waume ishini na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.