Recent content by Tukwa

  1. T

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nimeshaoa, naombeni nifahamu mambo ninayotakiwa kufanya na kutofanya kwa mke

    Mpelekee moto
  2. T

    JamiiForums Tanzania Wazazi wa Shule ya Sekondari Kisasa Dodoma wamtaka Waziri wa Elimu aingilie kati suala la Wanafunzi kufukuzwa Shule kiholela

    Baadhi ya wazazi wamemuomba Waziri wa Elimu kuingilia kati suala la wanafunzi kufukuzwa kiholela katika shule hiyo baada ya bodi ya shule chini ya shinikizo la Mkuu wa Shule hiyo anayefahamika kwa jina la Kandoro kuwafukuza shule tarehe 03/06/2023. Wazazi wanadai watoto hao walifanya makosa ya...
  3. T

    JamiiForums Tanzania Hivi maana ya kuwa na madirisha ya Wahudumu 5 au 7 benki ni nini?

    Kuna benki moja maarufu sana ni balaa! Madirisha mengi ila zinazotoa huduma ni Moja au mbili
  4. T

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mkataba wa Yanga na Sport Pesa waingia mdudu baada ya Yanga kutambulisha mdhamini mpya

    Dah! Ila viongozi wa Yanga wamezidi kuparamia mambo!
  5. T

    JamiiForums Tanzania Ni kweli kwamba Serikali imeshindwa hata kuzuia upigaji wa Vishkwambi?

    Blah blah kibao
  6. T

    JamiiForums Tanzania Ni shule gani ya sekondari ilijengwa na wakoloni Waarabu halafu Serikali ikaitaifisha baada ya uhuru 1961?

    Tanganyika haikutawaliwa na mwarabu, halafu shule zote zilizojengwa na wakoloni Wazungu zilitokana na unyonyaji na ukandamizaji dhidi ya mtu mweusi.
  7. T

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Tuliohamishiwa Dodoma, tujadili ndoa zetu

    Mie mwenyewe nko Dom itakuwa poa nikipata jimama kutoka mkoani tutoane hamu
  8. T

    JamiiForums Tanzania Mwigulu Nchemba: Tumepokea maoni ya tozo, tunashughulikia

    Yaani mtasababisha maisha yazidi kuwa magumu kwa wapangaji kwani walio wengi ni maskini. Ukimtoza mwenye nyumba automatically itamuathiri mpangaji. Mfano kama mpangaji analipa Kodi 30000 kwa mwezi bila tozo, mkimwekea makato ya tozo Nate ataongeza Kodi. Hivyo moja kwa moja atakaye athirika ni...
  9. T

    JamiiForums Tanzania Naanzisha kampeni ya kumuomba Rais Samia amuondoe Mwigulu Wizara ya Fedha

    Unyonyaji mkubwa unafanyika kupitia tozo
  10. T

    JamiiForums Tanzania Barua ya wazi kwa Mzee Bakhresa, Gharib wa GSM na Mo Dewji: Wakati mkiwekeza katika michezo, isaidieni jamii pia kwenye mambo mengine ya maana

    Kweli, Ushauri mzuri wanaweza kuwekeza katika afya(zahanati na hospital),elimu (Shule na vyuo)
  11. T

    JamiiForums Tanzania Uongozi soko la Majengo jijini Dodoma na mambo ya ajabu!

    Katika pitapita yangu leo, nimekuta vipeperushi vilivyoandikwa na uongozi wa soko kuu Majengo ,linalo wataka kuwafukuza wadau wa soko (boda boda, bajaji na wabeba mizigo) kuondoka katika maeneo yao ya kazi kwa kisingizio wanaleta msongamano kuanzia tarehe 07/06/2019 . Hoja hii haina mashiko na...
Back
Top Bottom