Andrew Tate
JF-Expert Member
- Jun 28, 2020
- 3,824
- 5,812
Kama ni msimamo binafsi kitu gani kimekufanya upost hapa?Situmiagi bidhaa yotote ya Azam ni msimamo wangu tu binafsi na familia yangu tangu 2014
Kama ni msimamo binafsi kitu gani kimekufanya upost hapa?Situmiagi bidhaa yotote ya Azam ni msimamo wangu tu binafsi na familia yangu tangu 2014
Kwaya SIO lazima iwe ya Dini..unaweza kuunda hata kwaya ya wafuga ndevuTBC sasa hivi wametoka kupiga kwaya ya kumsifia Magufuli na hizi zinpigwa sana tu.
Ungepita kimya ungeonekana wa maanaKama ni msimamo binafsi kitu gani kimekufanya upost hapa?
na wala ujapunguza pato la ya yule mzee tajiri.Situmiagi bidhaa yotote ya Azam ni msimamo wangu tu binafsi na familia yangu tangu 2014
Inaitwa Dhikri au Qaswida....!!!Kwaya SIO lazima iwe ya Dini..unaweza kuunda hata kwaya ya wafuga ndevu
Yeah Whatever the hell.Ungepita kimya ungeonekana wa maana
Nini maana ya kwaya? Tuanzie hapoHayo majina Tu..Ni kwaya SIO kwaya?
Haitosaidia kumpunguzia chochote azam maana waislam pekee wakiwa watumiaji wa bidhaa za azam basi bado utajiri wake utaendelea kupaa.Situmiagi bidhaa yotote ya Azam ni msimamo wangu tu binafsi na familia yangu tangu 2014
Swali zuri.Kwani wakristo ndio makafiri?
Kuna sehemu imetajwa kwamba wanaouliwa ni wakristo? Kwani kuvaa alama ya kujumlisha maana yake lazima iwe msalaba? Acha ushamba mkuu.Kama uulizavyo ' kwani wakristo ndio makafiri?' kulingana na maelezo ya mtia mada kwanini tamthilia hiyo ifanyie mfano wa hao mapadri ambao ni viongozi wa kiimani wa wakristo 'katoliki' kama makafiri huku wakiwachinja wana ajenda katika hilo¿?
Sasa hata wapiga dufu, waimba Qaswida wanazingatia hilo kwamaana hiyo ile ni kwaya.Kundi la watu wanaoimba pamoja focus ikiwa kwenye Sauti zao.
Haitosaidia kumpunguzia chochote azam maana waislam pekee wakiwa watumiaji wa bidhaa za azam basi bado utajiri wake utaendelea kupaa.
Kuna sehemu nimeandika nitasaidia kupunguza chochote?Haitosaidia kumpunguzia chochote azam maana waislam pekee wakiwa watumiaji wa bidhaa za azam basi bado utajiri wake utaendelea kupaa.
Mind your own fucking businessYeah Whatever the hell.
Kitendo cha kupost hapa misimamo binafsi it already defeated the main purpose of the word "msimamo binafsi".
Yote hayo sababu hujiamini na misimamo yako so you wanted to check kama hauko alone ili ujifariji.
Sababu misimamo yako isingematter kama ungebaki nayo.
So you posted here.
In reality you're alone and none of your personal matters.