Missile of the Nation
JF-Expert Member
- May 24, 2018
- 13,497
- 51,090
- Thread starter
- #41
Tofautisha kusaidia watu kwa kuwapa hela ya kula na kusaidia kwa kuwajengea capacity.Ni sawa!! lkn wewe mleta Mada labda humjui Bakhresa vizuri yaani unataka akusaidie wewe! ndo uone amefanya kitu kizuri! si ndiyo??
jamani huyu Mzee sijawahi ona roho nzuri ya kimalaika km huyu mzee!! mpaka kula jamani ana saidia watu, unatamani kulia kwa msaada wake mpaka sasa chozi linanitoka kwa wema wa huyu mtu!! sasa wewe unataka nini ndg? ......ajikatekate?
Kwani Bakhresa kajenga shule, vyuo, veta au hospitali ya maana ipi nchini?