Recent content by tukuyu123

  1. T

    JamiiForums Tanzania INAUZWA Chainsaw inauzwa

    Ulishauza mkuu??
  2. T

    JamiiForums Tanzania Plot4Sale Kiwanja kinauzwa Kibaha

    Mawasiliano
  3. T

    JamiiForums Tanzania Minada ya Ubalozi - Universal Auction huwa inafanyikaje?

    Na suala la bei zao zipoje??
  4. T

    JamiiForums Tanzania Minada ya Ubalozi - Universal Auction huwa inafanyikaje?

    Habari wana Jamvi, Nataka kujua hii minada ya ubalozi ambayo univesal anaifanya ipoje na pia bei zao zipoje? Natamani nijue haya mapema kutoka kwenu kama mnauzoefu nayo. Pia nmesikia mwishoni mwa week hii watakua na mnada mwingne. Kwa ambao walishawahi kufika nilitakani nipate dondoo tu. Ahsante.
  5. T

    JamiiForums Tanzania Nimetumiwa mzigo kutoka Uingereza kuja Afrika Mashariki

    Usitume hela yoyote ni utapeli huo
  6. T

    JamiiForums Tanzania Azam mlichonga njia mbovu kumpata Feisal, sasa kibao kimewageukia muachieni pia Prince Dube akatafute maisha kwingine!

    Haina haja ya mimi kusoma huko wakati wewe ndo umeleta hoja hapa! Km una hoja kwenye hzo sheria za FIFA ambazo zilimpa uhalali Feisali kuvunja mkataba leta sasa zijadiliwe sio kukaa na kusema nenda google kasome, hyo haiko sawa.
  7. T

    JamiiForums Tanzania Azam mlichonga njia mbovu kumpata Feisal, sasa kibao kimewageukia muachieni pia Prince Dube akatafute maisha kwingine!

    Wewe ndo ulete afu lijadiliwe...suala la feisal mbna lilikua wazi sana, nadhani wewe ndo ulikaza fuvu kutokuelewa sheria au mikataba ya kimpira ikoje. Ok fanya feisali kwl aliweza kuvunja mkataba, kwann haikutokea klabu yoyote kumchukua au kumtangaza wakati alikua huru??? Suala la Dube liko...
  8. T

    JamiiForums Tanzania Short course gani ilibadili maisha yako?

    Zinaanzaga lin?? Na namna gan ya kujiunga??
  9. T

    JamiiForums Tanzania Azam mlichonga njia mbovu kumpata Feisal, sasa kibao kimewageukia muachieni pia Prince Dube akatafute maisha kwingine!

    Pole kaka.. Kwahyo feisal wakat anasain pale yanga TFF walishirikishwa?? Au Prince dube alivyoomba kuondoka Azam TFF kashilikishwa pale?? Ufafanuzi upoje: Feisal alitaka kuvunja mkataba isivyo halal, ndo maana yanga walienda TFF kupata tafsiri ya kisheria juu mkataba wa Feisali(mkataba uko...
  10. T

    JamiiForums Tanzania Short course gani ilibadili maisha yako?

    Wanatoa na vyeti???
  11. T

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

    Bdo kmya humu
  12. T

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

    Bado kimya humu?
  13. T

    JamiiForums Tanzania Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Naomba link wakuu ndo naamka
  14. T

    JamiiForums Tanzania Waliowahi kuomba na kupata Visa tukutane hapa tupeane uzoefu

    Naombeni mnisaidie namna ya kupata visa ya canada na china km kuna namna kupata kwa urahisi na njia zake.
Back
Top Bottom