Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Havertz strikes again.

Once again, Arsenal out playing Barcelona & its not even close.

Barcelona playing long ball like Stoke.
 
Havertz second striker is going to be a cheat code for Arsenal next season, i can already see a 20 g/a season for him
 
Saka anazidi kuwa hatari, Alonso kalamba nyasi , kwasasa Penalty atafutwe mpigaji mwingine ,


Bukayo Saka anazidi kujipambanua kama moja ya Mchezaji ghari Duniani…Dogo kapikwa kapikika
20230725_203651.jpg
 
Saka anazidi kuwa hatari, Alonso kalamba nyasi , kwasasa Penalty atafutwe mpigaji mwingine ,


Bukayo Saka anazidi kujipambanua kama moja ya Mchezaji ghari Duniani…Dogo kapikwa kapikika View attachment 2700182
Penalty wamuachie odegard tu mwenyewe au Jesus wawe wanamaliza shughuli
In case joginho yupo ndani Basi apige mtu mzima
 
Madrid naona ana viungo mafundi Sana , akimpata mbappe atakuwa hatari zaidi
Hawa wajinga huelewi mpira wanaocheza lakini ni balaa.
Huyo mbappe bora wamkose

kwa nilichokishuhudia leo sisi manchester united bado hatuna uwezo wa kwenda nao jino kwa jino hususani kwa technical ability ya casemiro, rashford, wan bissaka, dalot.
Tunaweza sema ni friend lakini nafahamu kiundani level ya wachezaji wetu japokuwa si mchambuzi wa mpira.


Hawa barcelona nilishawaona kwenye mechi zetu mbili za europa, tuna uwezo wa kusimama nao muda wowote.
 
Hawa wajinga huelewi mpira wanaocheza lakini ni balaa.
Huyo mbappe bora wamkose

kwa nilichokishuhudia leo sisi manchester united bado hatuna uwezo wa kwenda nao jino kwa jino hususani kwa technical ability ya casemiro, rashford, wan bissaka, dalot.
Tunaweza sema ni friend lakini nafahamu kiundani level ya wachezaji wetu japokuwa si mchambuzi wa mpira.


Hawa barcelona nilishawaona kwenye mechi zetu mbili za europa, tuna uwezo wa kusimama nao muda wowote.
Ni kweli Madrid ana viungo technical wengi Sana ,

Anahitaji mbappe tu waanze kutoa vipigo
 
Arteta amenisikitisha sana kumsajili Kai Havertz. Hii inaonesha kwamba mpaka sasa hajafahamu mahali tatizo la Arsenal lilipo.

Paundi 65m kama angetulia na akaziongezea kwa kumuuza Balogun, Tavares na Nketiah angeweza kumleta pale Osimhen. Kai sijui amemleta kufanya nini.

Usajili wa Declan Rice na Timber ni mzuri na kwa sehemu utasaidia kuimarisha kiungo na ulinzi lakini still Arsenal inahitaji goalkeeper ambaye yupo serious.

Wachezaji wa kawaida kama Reiss Nelson, Fabio Vieira, Rob Holding, Cedric Soares, Nicolas Pepe na Sambi Lokonga wanatakiwa kuondolewa haraka.

Msimu ujao nategemea Arsenal itabakia kwenye top four lakini masuala ya ubingwa tuendelee kuyasahau.
Osimhen anatoa watu roho.

Kwa Kai unatarajia nini na nini aweze na nini asiweze?

Mimi nimejiandaa na yeye kukosa magoli mengi. Lakini natarajia atatoa assists kadhaa kwa Martinelli na Jesus
 
WHAT A STRIKE

TROSSARD GIVES US THE LEAD WITH A BRILLIANT FINISH ACROSS THE GOALKEEPER

3-2 (55)
 
Osimhen anatoa watu roho.

Kwa Kai unatarajia nini na nini aweze na nini asiweze?

Mimi nimejiandaa na yeye kukosa magoli mengi. Lakini natarajia atatoa assists kadhaa kwa Martinelli na Jesus
Yaan osimhen anawatoa Sana watu roho kaakweli

Mm naona Kama wanamtaka osimhen ,tuuze balogun na nketiah wote kwa pamoja ,lakin tujiandae kwa lolote anaweza akafeli vile vile

Complete package ya Striker ni Kama Kane , halland ,nje ya hapo ni kubahatisha
 
Back
Top Bottom