Minada ya Ubalozi - Universal Auction huwa inafanyikaje?

Minada ya Ubalozi - Universal Auction huwa inafanyikaje?

tukuyu123

Member
Joined
Jun 29, 2023
Posts
15
Reaction score
21
Habari wana Jamvi,

Nataka kujua hii minada ya ubalozi ambayo univesal anaifanya ipoje na pia bei zao zipoje? Natamani nijue haya mapema kutoka kwenu kama mnauzoefu nayo.

Pia nmesikia mwishoni mwa week hii watakua na mnada mwingne. Kwa ambao walishawahi kufika nilitakani nipate dondoo tu. Ahsante.
 
Na hiyo kodi serikali wanayokata ni kodi zipi na asilimia ngapi
 
Back
Top Bottom