Adhabu ya chini kabisa kwa mtu aliyetiwa hatiani kwa kosa la kuua bila kukusudia ni kuachiliwa huru bila masharti (unconditional discharge) na adhabu ya juu kabisa ni kifungo cha maisha.
Kisheria kampuni na mmiliki wa kampuni ni watu wawili tofauti. Simba imeweka sharti kwamba lazima uwe mwanachama ili kuuziwa hisa. Bakheresa ni mwanachama wa simba. Azam FC inamilikiwa na Bakheresa Group of Companies na sio Bakheresa. Simba walifanya kosa kwa kuchukua fedha za MO wakidhani...
Udsm ni Chuo bora kuliko UDOM lakini kwa hizo kozi mbili nakushauri aende UDOM. Tahadhari: kama ni mtoto wa kike Dodoma sasa kuna vishawishi vingi kutokana na wafanyakazi kuhamia huko.
Upo sahihi, inategemea chuo alichosoma. Baadhi ya vyuo elimu yao haina ubora hivyo UDSM wakikuchukua wanaharibu CV yao.
Sent using Jamii Forums mobile app
Tatizo jingine ni kwamba Simba wanauza timu kwa bei iliyopangwa na mnunuzi, wao wenyewe hawajui thamani ya club na mali zake.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukweli ni kwamba Simba haipati chochote kwenye haya mauziano. Mo atatoa bilioni 20 ambazo zitaingizwa kwenye akaunti ya Simba kisha atakabidhiwa timu. Baada ya hapo yeye ndiye atakuwa na maamuzi ya mwisho kuhusu kila kitu ikiwa ni pamoja na matumizi ya hizo fedha. Atakuwa na hiari ya kubadili...
Anaweza kuwa prominent lawyer lakini hafahamu vizuri sheria za ardhi. Kuna mawakili wachache hapa nchini ambao ni wataalam wa kesi za jinai, mirathi, na ardhi.
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.