Recent content by Tugende Tukole

  1. Tugende Tukole

    Ijue nyota yako: Fahamu mengi kuhusu nyota yako

    MKUU MSAADA WAKO; kwa mfano mimi nyota yangu ikawa ni MBUZI. Alafu ninayetaka kumuoa ana nyota ya NDOO hili limekaaje kimahusiano na kiuchumi??
  2. Tugende Tukole

    Ijue nyota yako: Fahamu mengi kuhusu nyota yako

    KWA MFANO: waliozaliwa January 15 unaposema namba yao ya bahati ni 8. hiyo 8 namba ya bahati una maanisha nini?
  3. Tugende Tukole

    Lita 1.5 ya maji ya kunywa na Glass ya Maji ya Majivu kwa ajili ya kuzuia mimba zisizotarajiwa

    Na wewe ungechukua maji mixer na majivu ungegigida, pengine ungetuletea evidance hapa za kutosha.
  4. Tugende Tukole

    Kitabu gani ambacho kimewahi kubadilisha maisha yako na unatamani wengine tukisome?

    PASSED LIKE A SHADOW. Ni kipindi ambacho nilianza mambo ya ujana mihemuko mingi, nilipokisoma kile kitabu kilinisha sana, ghafla tabia, mienendo nilibadiri hadi home walishanga. Urafiki na mabinti ndo ikawaga kwa heri.
  5. Tugende Tukole

    Somalia wapiga marufuku Sambusa

    Sasa kwao kuna njaa kila mwaka, wameanza kupi hahahahaaa
  6. Tugende Tukole

    SoC02 Elimu: Kutoka ufugaji wa kuku kumi na moja mpaka maelfu

    Ni NIMELIPENDA SANA HILI SOMO, KWA SABABU LIMENIONGEZEE MAARIFA KWA NINACHOKIFANYA.
  7. Tugende Tukole

    Kahama VS Njombe/Mafinga

    Vipi kuhusu Mafinga kati ya hiyo miji miwili, Njombe na Kahama.
  8. Tugende Tukole

    Kahama VS Njombe/Mafinga

    hahahahahaa
  9. Tugende Tukole

    Jifunze Jinsi ya kufanya Manunuzi kwa Ebay mtandaoni

    hapo hapo mkuu, naomba kuuliza, kuhusu namna ya kufanya selection. Kwa mfano labda ningetamani mzigo wangu utokee Marekani na sio HongKong nafanyaje kufanya uchaguzi huo?
  10. Tugende Tukole

    Jifunze Jinsi ya kufanya Manunuzi kwa Ebay mtandaoni

    samahani vipi lakini kuhusu Alibaba
  11. Tugende Tukole

    Nitajie Rais wa Africa aliyefanikiwa kudhibiti nchi kwa kuwa mlaini/mpole mpole (polite)

    Raisi wa hivyo hayupo, bado hajaingia madarakani.
  12. Tugende Tukole

    Rais Samia ukigusa Katiba Mpya ndio itakuwa kaburi lako la kisiasa

    HATA HIVYO TUMECHELEWA mchakato wa katiba mpya ni wa mhimu sana kwenye hili Taifa. Hata akipoteza uraisi 2025 ni sawa tu, cha msingi Watanzania tupate katiba mpya, katiba kwetu ni bora zaidi yeye kuingia 25. Mimi namshauri miongoni mwa vitu ambavyo atajenga historia Watanzania wamkumbuke daima...
  13. Tugende Tukole

    Wanaume, mnawezaje kuvumilia wanawake hawa?

    sasa olewako siku akuchoke ndo utaelewa kwamba kumbe maji huwa hayapandi mlima.
Back
Top Bottom