Wanaume, mnawezaje kuvumilia wanawake hawa?

Wanaume, mnawezaje kuvumilia wanawake hawa?

City Rider

JF-Expert Member
Joined
Jul 31, 2022
Posts
402
Reaction score
1,218
Happy new year 2023

Hivi inakuwaje wanaume wenzangu unaoa mwanamke

Anaongea sana iwe ndani ya nyumba, nje, kwenye simu yani yeye ni talkative unaweza kuwa unaongea nae kwenye simu huku akiwa anaongea na watu wengine -mnawezaje ndugu zangu kukaa na hawa watu[emoji23]

AU Mwanamke anajirekodi akiimba nyimbo zote, instagram kumejaa, whatsapp status kama shanga, vijembe vya kutosha ebwanaa eeh tunaomba huo uvumilivu wenu tutumie kwenye mapambano na maisha

Wakuu mnawezaje mi naona siwezi kuvaa viatu vyenu kabisa maana nikiona mwanamke mwenye sifa hizo hata kama ni jirani yangu huwa nakaa mita 100

Mnawezaje wadau
 
Wewe ukiwashindwa jua wapo wanaowaweza.Hatufanani.

Ukiona mwanamke mwenye tabia za hivyo jua Mungu atamjalia mwanaume mtulivu Sana asiyemuongeaji, na wataishi vizuri Sana maana Mungu huwa hakosei Kwenye kupatanisha( The law of POLARITY).
 
Wanatuvumilia hivo hivo, watafanyaje sasa? Afu tunakuaga watamu wanawake wa hivyo, yani hatuboi.
Mfano Baba K akirudi Ile nimempokea mizigo tu naanza kumpa umbea WA majirani, nikiwa namtengea chakula nampa ubuyu wa Jf nani katumbuliwa nani kaachwa...
Ukifika muda wa mpira naangalia nae sebuleni huku tunamsimanga Feisal...!

Ukifika muda wa chakula cha usiku pia mdomo haupoi, mechi nzima ni full kumropokea Baba K unajuaa...🤣

Tukimaliza hapo naanza kumsaidia kumsengenya bosi wake na majirani wawili watatu halafu tunalala.

Yani nikisafiri siku moja tu nyumba inapoaa, ananambia mke wangu Rudi! we unataka mwanamke kapoa, haongei Ka kakatwa ulimi🤣
 
Wanatuvumilia hivo hivo, watafanyaje sasa? Afu tunakuaga watamu wanawake wa hivyo, yani hatuboi.
Mfano Baba K akirudi Ile nimempokea mizigo tu naanza kumpa umbea WA majirani, nikiwa namtengea chakula nampa ubuyu wa Jf nani katumbuliwa nani kaachwa...
Ukifika muda wa mpira naangalia nae sebuleni huku tunamsimanga Feisal...!

Ukifika muda wa chakula cha usiku pia mdomo haupoi, mechi nzima ni full kumropokea Baba K unajuaa...[emoji1787]

Tukimaliza hapo naanza kumsaidia kumsengenya bosi wake na majirani wawili watatu halafu tunalala.

Yani nikisafiri siku moja tu nyumba inapoaa, ananambia mke wangu Rudi! we unataka mwanamke kapoa, haongei Ka kakatwa ulimi[emoji1787]
[emoji23][emoji23]

Sent from my TECNO BB2 using JamiiForums mobile app
 
Happy new year 2023

Hivi inakuwaje wanaume wenzangu unaoa mwanamke

Anaongea sana iwe ndani ya nyumba, nje, kwenye simu yani yeye ni talkative unaweza kuwa unaongea nae kwenye simu huku akiwa anaongea na watu wengine -mnawezaje ndugu zangu kukaa na hawa watu[emoji23]

AU Mwanamke anajirekodi akiimba nyimbo zote, instagram kumejaa, whatsapp status kama shanga, vijembe vya kutosha ebwanaa eeh tunaomba huo uvumilivu wenu tutumie kwenye mapambano na maisha

Wakuu mnawezaje mi naona siwezi kuvaa viatu vyenu kabisa maana nikiona mwanamke mwenye sifa hizo hata kama ni jirani yangu huwa nakaa mita 100

Mnawezaje wadau
Mwanamke akikupenda, atatii maagizo yako
 
Wewe ukiwashindwa jua wapo wanaowaweza.Hatufanani.

Ukiona mwanamke mwenye tabia za hivyo jua Mungu atamjalia mwanaume mtulivu Sana asiyemuongeaji, na wataishi vizuri Sana maana Mungu huwa hakosei Kwenye kupatanisha( The law of POLARITY).
Ebwanaaee
 
Wanatuvumilia hivo hivo, watafanyaje sasa? Afu tunakuaga watamu wanawake wa hivyo, yani hatuboi.
Mfano Baba K akirudi Ile nimempokea mizigo tu naanza kumpa umbea WA majirani, nikiwa namtengea chakula nampa ubuyu wa Jf nani katumbuliwa nani kaachwa...
Ukifika muda wa mpira naangalia nae sebuleni huku tunamsimanga Feisal...!

Ukifika muda wa chakula cha usiku pia mdomo haupoi, mechi nzima ni full kumropokea Baba K unajuaa...[emoji1787]

Tukimaliza hapo naanza kumsaidia kumsengenya bosi wake na majirani wawili watatu halafu tunalala.

Yani nikisafiri siku moja tu nyumba inapoaa, ananambia mke wangu Rudi! we unataka mwanamke kapoa, haongei Ka kakatwa ulimi[emoji1787]
Unakua kama umekula pili pili mwendokasi
 
Asilimia kubwa wanaume wanapenda wanawake waliochangamka kama ivo ila sie wapole tunaonekana tunaboa
Kila mtu na choice yake
Aisee hapana hiyo nyumba inakuwa kama soko la tandale
 
Back
Top Bottom