Recent content by Tuff

  1. Tuff

    JamiiForums Tanzania Ni kwanini simu za iPhones hazihusishwi kwenye mifumo ya Serikali?

    Hapo kusema ukweli watumiaji wa ios ndo wanamuelewa upesi. Na ana hoja nzuri tu. Watu wa Tehama wanafeli wapi?
  2. Tuff

    JamiiForums Tanzania Ni kwanini simu za iPhones hazihusishwi kwenye mifumo ya Serikali?

    Kuna baadhi ya app za serikali zinapatikana kwa watumiaji wa android tu, kwwnye ios (appstore) hazipo.
  3. Tuff

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kwanini wanaume wanaona ugumu kumsifia mwanaume mwezie kama kapendeza au ni mzuri?

    Tatizo huudhurii vikao vyetu
  4. Tuff

    JamiiForums Tanzania Tarehe Mbaya Hizi...

    Mafuta kama mafuta hayana shida maana wanapiga tu. Issue wasiwe tu wanayachakachua tu ili kuongeza kipato. Huku bongo magari tunayaburuza tu maana hata ya kwenye pump hayafikii octane rating ya manufacturer kwa baadhi ya magari.
  5. Tuff

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ni wimbo gani unaoutafuta sana bila mafanikio?

    Mwenye Audio ya Tumaini Shangilieni Choir-Silaha ya ushindi ukinisaidia utakuwa umetisha.
  6. Tuff

    JamiiForums Tanzania Shida ni Pikipiki au Udereva?

    Sahihi kabisa. Asilimia kubwa hawajaenda shule ya driving hivyo hizo alama na sheria za barabarani hawazizingatii kwakuwa hawazijui. Ukikutana na dereva mzuri boda haina shida shida utaletewa na watumiaji wengine wa barabara wasiokuwa na elimu ya usalama barabarani.
  7. Tuff

    JamiiForums Tanzania Kati ya Bangi na Visungura kipi kina madhara makubwa kwa vijana wa sasa?

    Vyote tu. Kimoja madhara ni papo hapo kimoja madhara yake yanaonekana baada ya muda.
  8. Tuff

    JamiiForums Tanzania Athlete Crown sio gari la kubishana nalo ukiwa barabarani acha liende

    Injini gani haizingui ukiwa kila saa revs unaziredline? Subaru zinadumu zikiwa kwa watu wanaostahili kuzimiliki sio gari ya mtu ambae hana ufahamu wa magari.
  9. Tuff

    JamiiForums Tanzania Athlete Crown sio gari la kubishana nalo ukiwa barabarani acha liende

    Siongelei hisia naongelea uhalisia ambao nishaushuhudia thats y kila gari niliyokutajia inaiacha crown nilikutajia na specific model mfano altezza nilikuambia iwe ya 3s yenye nanual gearbox. Forester yako kama inaachwa na crown ya 4gr itakuwa ina shida mahali. Kama unaishindanisha ya 2gr yeah...
  10. Tuff

    JamiiForums Tanzania Athlete Crown sio gari la kubishana nalo ukiwa barabarani acha liende

    Sasa sjg nayo ni subaru ktk ulimwengu wa subaru? Subaru ni imprezza wrx sti (gdb)
  11. Tuff

    JamiiForums Tanzania Athlete Crown sio gari la kubishana nalo ukiwa barabarani acha liende

    Naelewa nachokiongea mzee. Google ej 207 inakuja kutoka kiwandani na hp ngapi na ina uwezo wa kuhimili mods mpaka za hp ngapi ikiwa na stock internals. Na hata ej205 zinazokuja na wrx ikiwa modded 2gr inakaa.
  12. Tuff

    JamiiForums Tanzania Athlete Crown sio gari la kubishana nalo ukiwa barabarani acha liende

    Hiyo ni 2gr sio 4gr sasa. Hapo sasa ukitaka kulinganisha crown na gari zilizokuwa modified ndo kabisaa unaonesha kuwa hujui potential ya injini yenye turbo. Hapo crown italiwa mapema tu na injini za cc 2000 i.e ej20, 4g63, 1jz etc.
  13. Tuff

    JamiiForums Tanzania Athlete Crown sio gari la kubishana nalo ukiwa barabarani acha liende

    Altezza ni nyepesi kuliko crown. Hivyo hizo hp zake 210 zinaifanya iwe na iwezo kuliko crown (power to weight ratio). Pia zingatia ni altezza yenye 3s na manual transmission tu ndio yenye hp210 sio kila altezza
  14. Tuff

    JamiiForums Tanzania Athlete Crown sio gari la kubishana nalo ukiwa barabarani acha liende

    " Infact. Kuna gari zina injini hiyo hiyo ya crown na zinaiacha crown kwa ajili ya factors nyingine kma uzito, gear ratios, ecu etc" Altezza yenye injini ya 3s na gearbox ya manual 6speed inaiacha crown yenye injini ya 4gr.
  15. Tuff

    JamiiForums Tanzania Athlete Crown sio gari la kubishana nalo ukiwa barabarani acha liende

    Mark x ni nyepesi kidogo kuliko crown, hivyo ina advantage kidoogo kwenye mafuta na ukimbiaji.
Back
Top Bottom