Recent content by Tuff

  1. Tuff

    JamiiForums Tanzania Kitu gani kinakukera sana ukiwa unasafiri kwa basi kwenda mkoani?

    Ewaaah. Hawa ukikaa nae jirani ni kamzozo
  2. Tuff

    JamiiForums Tanzania Hivi maisha bila kuvaa nguo ingekuwaje?

    Wanyetukaji na madunga dunga wangeenjoy sana
  3. Tuff

    JamiiForums Tanzania HOJA Nashauri iundwe 'Yanga Law'; timu itakayokaidi kutumia 'Vyumba rasmi vya kubadilishia Nguo' ipokwe alama tatu na kutozwa faini ya Tsh. Milioni 50

    kutoingilia geti kuu ama kubadili nguo kwenye vyumba husika kuna athari yoyote kwenye pitch? Je ni makosa makubwa kiasi cha kupelekea timu kukatwa point? Kila siku watu wanatoa (vibusta) magolini. Ushirikina ni kosa ambalo halistahili kukatwa point 3?
  4. Tuff

    JamiiForums Tanzania HOJA Nashauri iundwe 'Yanga Law'; timu itakayokaidi kutumia 'Vyumba rasmi vya kubadilishia Nguo' ipokwe alama tatu na kutozwa faini ya Tsh. Milioni 50

    Hakuna asiyejua kwanini wanafanya hivyo. Ndio maana sio kila mechi wanafanya hivyo. Je una pendekezo gani kuhusu vitendo vya kishirikina/hujuma kwenye vyumba vya kubadilishia nguo, ikigundulika unapendekeza adhabu gani?
  5. Tuff

    JamiiForums Tanzania Maskini Pacome. Kweli kuimba kupokezana. "Kama Simba hawataki Kuguswa wakacheze karata" Pacome leo kaguswa

    Angehojiwa si ajabu angesema alikuwa anataka kubalance mchezo haha
  6. Tuff

    JamiiForums Tanzania Maskini Pacome. Kweli kuimba kupokezana. "Kama Simba hawataki Kuguswa wakacheze karata" Pacome leo kaguswa

    Refa ndo punguani kabisa. Aliyecheza foul alikuwa ndo beki wa mwisho hivyo ilistahili kuwa kadi nyekundu moja kwa moja hata kama Pacome asingevunjika, ila ye akatoa ya njano kwanza.
  7. Tuff

    JamiiForums Tanzania HOJA Mume wa Mzazi Mwenzangu aliniteka na watu wake waliojitambulisha kuwa ni Polisi, wakanijeruhi vibaya kwa mapanga

    Maelezo yake hayajanyooka kuna vipande havina ufafanuzi mzuri. Mi mwenyewe nimejiuliza mpaka anaenda Goba alikuwa anawasiliana na nani. Baada ya Mahakama huku kusema alishambuliwa kwa kutaka kuiba mtoto akarukia Mwanza jamaa wamemfuata tena. Sasa nani atakuja kukufanyia ubaya wkt kwenye vyombo...
  8. Tuff

    JamiiForums Tanzania Board ya Prado TX

    Tandale
  9. Tuff

    JamiiForums Tanzania Huwa najiuliza, Michael Scofield ilikuwaje akawa shoga?

    Ndo maana Lissu alisema hatofuatilia mambo ya chumbani mwa watu. Maisha bimafsi ya watu ukiyafuatilia utakuta hata watu wako wa karibu sana mambo yao hutoyapenda.
  10. Tuff

    JamiiForums Tanzania Kumuelewa mwanamke ni kazi kweli kweli

    Sisi wanaume tuna kaliba ya kuwachukulia wanawake tofauti na sisi kihisia. Hapo ndo unakuta mtu anaona ni sahihi ye kuzichapa nje lakini ye akichapiwa anaona mwanamke jau.
  11. Tuff

    JamiiForums Tanzania Rais Samia Suluhu amefeli mazima kuendesha hii nchi

    Kwahiyo Mkuu unamaanisha mpaka na sisi numbers ziongezeke walau zifikie za Ethiopia ndio ICC waanze kuchukua hatua?
  12. Tuff

    JamiiForums Tanzania Huwa najiuliza, Michael Scofield ilikuwaje akawa shoga?

    Mkuu ukatekwa mpaka ukawa unahisi kama ni akili zake vile. He's just an actor kama Kobisi tu.
  13. Tuff

    JamiiForums Tanzania Ni kwanini simu za iPhones hazihusishwi kwenye mifumo ya Serikali?

    Hapo kusema ukweli watumiaji wa ios ndo wanamuelewa upesi. Na ana hoja nzuri tu. Watu wa Tehama wanafeli wapi?
  14. Tuff

    JamiiForums Tanzania Ni kwanini simu za iPhones hazihusishwi kwenye mifumo ya Serikali?

    Kuna baadhi ya app za serikali zinapatikana kwa watumiaji wa android tu, kwwnye ios (appstore) hazipo.
Back
Top Bottom