kutoingilia geti kuu ama kubadili nguo kwenye vyumba husika kuna athari yoyote kwenye pitch?
Je ni makosa makubwa kiasi cha kupelekea timu kukatwa point?
Kila siku watu wanatoa (vibusta) magolini. Ushirikina ni kosa ambalo halistahili kukatwa point 3?
Hakuna asiyejua kwanini wanafanya hivyo. Ndio maana sio kila mechi wanafanya hivyo.
Je una pendekezo gani kuhusu vitendo vya kishirikina/hujuma kwenye vyumba vya kubadilishia nguo, ikigundulika unapendekeza adhabu gani?
Refa ndo punguani kabisa. Aliyecheza foul alikuwa ndo beki wa mwisho hivyo ilistahili kuwa kadi nyekundu moja kwa moja hata kama Pacome asingevunjika, ila ye akatoa ya njano kwanza.
Maelezo yake hayajanyooka kuna vipande havina ufafanuzi mzuri.
Mi mwenyewe nimejiuliza mpaka anaenda Goba alikuwa anawasiliana na nani.
Baada ya Mahakama huku kusema alishambuliwa kwa kutaka kuiba mtoto akarukia Mwanza jamaa wamemfuata tena. Sasa nani atakuja kukufanyia ubaya wkt kwenye vyombo...
Ndo maana Lissu alisema hatofuatilia mambo ya chumbani mwa watu. Maisha bimafsi ya watu ukiyafuatilia utakuta hata watu wako wa karibu sana mambo yao hutoyapenda.
Sisi wanaume tuna kaliba ya kuwachukulia wanawake tofauti na sisi kihisia. Hapo ndo unakuta mtu anaona ni sahihi ye kuzichapa nje lakini ye akichapiwa anaona mwanamke jau.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.