Recent content by Tuff

  1. Tuff

    JamiiForums Tanzania Msaidizi wa Lissu apatikana baada ya kudaiwa kutekwa akiwa na pingu mkononi pamoja na majeraha

    Mi nimempa Maua yake tu Mkuu. Kuwa anatisha kama Chuck Norris.
  2. Tuff

    JamiiForums Tanzania Msaidizi wa Lissu apatikana baada ya kudaiwa kutekwa akiwa na pingu mkononi pamoja na majeraha

    Ya kupambana na watu zaidi ya watano huku amefungwa pingu.
  3. Tuff

    JamiiForums Tanzania Msaidizi wa Lissu apatikana baada ya kudaiwa kutekwa akiwa na pingu mkononi pamoja na majeraha

    Sikuwa nimeiona vid Mkuu. Aisee kama anavyosema ndo ilivyo kumbe mwamba ni starring kabisa kama Chuck Norris. Sema sio bure atakuwa kuna mafunzo alipitia🫡
  4. Tuff

    JamiiForums Tanzania Msaidizi wa Lissu apatikana baada ya kudaiwa kutekwa akiwa na pingu mkononi pamoja na majeraha

    Asa mbona mwamba yupo na kikoi, alikuwa kavaaje kabla ya kutekwa🤔
  5. Tuff

    JamiiForums Tanzania Maisha yamekuwa mazito Tanzania, lakini wananchi hawatakiwi kufanywa wajinga

    Kuokotwa kwenye mfuko wa sandarusi/kutoonekana kabisa unadhani mchezo? Wakikustahi sana ndo unafanywa kama Roma☹️
  6. Tuff

    JamiiForums Tanzania Staili za ulaji koni

    Itakuwa ukitoa ulozi profession yake nyingine ni sekta hizo😀
  7. Tuff

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Usitoe vyote.... atacheat tu! Jifunze uchoyo

    Mfano kitu gani sasa aninyime, na asiponipa mm anaenda kumpa nani🤔
  8. Tuff

    JamiiForums Tanzania Tangu mwaka 2026 uingie, umefanya lipi la maana?

    Kwa upande wangu ninafanikiwa kupumua
  9. Tuff

    JamiiForums Tanzania Staili za ulaji koni

    Na kuna nyimbo ya Mbosso anasema "wenzake wanakula fegi ye anataka ball cone" naona wote maana yenu 1😅
  10. Tuff

    JamiiForums Tanzania Staili za ulaji koni

    Watoto bado hatujalala uncle🫣
  11. Tuff

    JamiiForums Tanzania Vitu gani vinasababisha Injini za magari kufa haraka?

    Wanahusika pia. Kuna wengine bila kusimamiwa ni chenga kabisa.
  12. Tuff

    JamiiForums Tanzania Vitu gani vinasababisha Injini za magari kufa haraka?

    Huu utaratibu unasaidia nn Mkuu?
  13. Tuff

    JamiiForums Tanzania Special Thread: Picha za Warembo Wakali World wide. Tupia picha Only Beautiful Ladies

    Enhe baada ya kumpa lift nini kilijiri mkuu?
  14. Tuff

    JamiiForums Tanzania Kati ya kitu ambacho sijawai kuona faida yake wala kusikia ushuhuda wa matumizi yake basi ni AIRBAGS za kwenye magari

    Yeah, kama lc200 lina airbags kibao. Kwa jinsi zilivyo nyingi likibiduka zikatoka zinakuwa kama pazia hata ndani unaweza usione😀
  15. Tuff

    JamiiForums Tanzania Kati ya kitu ambacho sijawai kuona faida yake wala kusikia ushuhuda wa matumizi yake basi ni AIRBAGS za kwenye magari

    Ushawahi kupata ajali mpaka airbag zikatoka? Mwanzoni zilikuwa 2 tu (ya abiria 1 na dereva 1), ushajiuliza kwanini siku hizi zimeongezwa zinafika mpaka 8?
Back
Top Bottom