Recent content by Tuff

  1. Tuff

    Ushauri wenu Wakuu, Wahadhiri wanaoomba rushwa ya ngono wamemfikia mtoto wangu

    Hongera kwa malezi mazuri ambayo yamefanya binti awe open kwako/ulikopata taarifa. Ila naamini binti angekuwa amemuelewa lecturer isingefika kwako kuwa anapata sexual harassment. I believe kuna some sort of flexibility mzazi anatakiwa kuwa nayo ili mtoto aweze kuqa free kumueleza mambo kama...
  2. Tuff

    Battle: Subaru forester SH5 turbocharged Vs mark X

    Sijasema sio gari ya maana. kama ni mfuatiliaji mzuri wa hayo mambo ya racing hapa kwa East Africa bila shaka unajua kuwa JDM sio habari tena watu siku hizo wapo GDM. N:B: GDM zenyewe ni perfomance specs i.e AMG, M sport, GTI etc sio base models.
  3. Tuff

    Battle: Subaru forester SH5 turbocharged Vs mark X

    Subaru watu huwa wanapenda tu kuziover hype ila ni gari za kawaida tu kama sio STi version.
  4. Tuff

    Kwa wanaotaka Kumiliki Kirikuu

    Ndo mbadala wa virikuu siku hizi. Na kuna guta za umeme nazo zinapendwa sana mjini kwa ajili ya mobility.
  5. Tuff

    Hatimaye Beforward wametukumbuka. Wametuletea Tesla Cybertruck kwenye website yao!

    Labda una faida aerodynamics wise. Ila limekaa kama dude kutoka sayari nyingine.
  6. Tuff

    FBI walivyobaini utapeli na ugaidi wa Nabii Rashnishi toka India

    Jamaa mi mwenyewe namkubali. Kuna Sadhguru kwangu ndo amekuwa mbadala wa Osho
  7. Tuff

    Hatimaye Beforward wametukumbuka. Wametuletea Tesla Cybertruck kwenye website yao!

    Hapo unakuwa unalinganisha samaki na ngedere Mkuu. Hiyo gari hata matangazo yake huwa naona yanapelekwa kwenye barabara ambazo Toyota Crown haiwezi kufika. Kuhusu muonekano hata mimi binafsi sijavutiwa nayo.
  8. Tuff

    Kwa wanaotaka Kumiliki Kirikuu

    Sidhani kama inafaa kwa biashara ya uchukuzi. Gari gani inazidiwa uwezo wa kubeba mzigo na Guta (Wanhoo).
  9. Tuff

    Miguno yake ilifanya nimtongoze na kumchakata

    Mkuu, Hizi gari ushasikia usumbufu wake wowote kwa wamiliki? (Napenda kujua common problems zake kwa mazingira ya kibongo bongo).
  10. Tuff

    Kununua gari kwa mbongo ni mtihani, wauzaji wengi wanaficha matatizo yaliyowashinda, mnunuzi anaachiwa apambane nalo.

    Muhimu ni kujua historia ya gari. Unaweza ukawa unamjua na akawa kanjanja. Sisi huku hatuna utaratibu wa kutunza kumbukumbu za matengenezo ya gari (service history). Duniani kwa wenzetu inawasaidia sana mnunuaji kujua kitu anachonunua maana kila matengenezo yaliyofanyika kwenye gari anakua...
  11. Tuff

    Kununua gari kwa mbongo ni mtihani, wauzaji wengi wanaficha matatizo yaliyowashinda, mnunuzi anaachiwa apambane nalo.

    Siri ya kununua gari kwa mtu huwa ipo hapo, kufahamu sababu halisi inayofanya gari hiyo iuzwe.
  12. Tuff

    Rangi ya Plate number za mabasi ya shule

    Hao wa probox wanakiuka kweli taratibu wanatumia gari iliyosajiliwa kwa matumizi ya binafsi kufanya biashara Ila hapo kwenye school bus naamini hailazimiki kuwa na namba za biashara kama gari hiyo haijakodishwa kutoka kwa mtu baki. Maana ikiwa hivyo itakuwa haileti mantiki; Yaani niwe na basi...
Back
Top Bottom