Mafuta kama mafuta hayana shida maana wanapiga tu. Issue wasiwe tu wanayachakachua tu ili kuongeza kipato.
Huku bongo magari tunayaburuza tu maana hata ya kwenye pump hayafikii octane rating ya manufacturer kwa baadhi ya magari.
Sahihi kabisa. Asilimia kubwa hawajaenda shule ya driving hivyo hizo alama na sheria za barabarani hawazizingatii kwakuwa hawazijui.
Ukikutana na dereva mzuri boda haina shida shida utaletewa na watumiaji wengine wa barabara wasiokuwa na elimu ya usalama barabarani.
Injini gani haizingui ukiwa kila saa revs unaziredline?
Subaru zinadumu zikiwa kwa watu wanaostahili kuzimiliki sio gari ya mtu ambae hana ufahamu wa magari.
Siongelei hisia naongelea uhalisia ambao nishaushuhudia thats y kila gari niliyokutajia inaiacha crown nilikutajia na specific model mfano altezza nilikuambia iwe ya 3s yenye nanual gearbox.
Forester yako kama inaachwa na crown ya 4gr itakuwa ina shida mahali. Kama unaishindanisha ya 2gr yeah...
Naelewa nachokiongea mzee. Google ej 207 inakuja kutoka kiwandani na hp ngapi na ina uwezo wa kuhimili mods mpaka za hp ngapi ikiwa na stock internals.
Na hata ej205 zinazokuja na wrx ikiwa modded 2gr inakaa.
Hiyo ni 2gr sio 4gr sasa. Hapo sasa ukitaka kulinganisha crown na gari zilizokuwa modified ndo kabisaa unaonesha kuwa hujui potential ya injini yenye turbo. Hapo crown italiwa mapema tu na injini za cc 2000 i.e ej20, 4g63, 1jz etc.
Altezza ni nyepesi kuliko crown. Hivyo hizo hp zake 210 zinaifanya iwe na iwezo kuliko crown (power to weight ratio).
Pia zingatia ni altezza yenye 3s na manual transmission tu ndio yenye hp210 sio kila altezza
"
Infact. Kuna gari zina injini hiyo hiyo ya crown na zinaiacha crown kwa ajili ya factors nyingine kma uzito, gear ratios, ecu etc"
Altezza yenye injini ya 3s na gearbox ya manual 6speed inaiacha crown yenye injini ya 4gr.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.