Hongera kwa malezi mazuri ambayo yamefanya binti awe open kwako/ulikopata taarifa.
Ila naamini binti angekuwa amemuelewa lecturer isingefika kwako kuwa anapata sexual harassment.
I believe kuna some sort of flexibility mzazi anatakiwa kuwa nayo ili mtoto aweze kuqa free kumueleza mambo kama...
Sijasema sio gari ya maana.
kama ni mfuatiliaji mzuri wa hayo mambo ya racing hapa kwa East Africa bila shaka unajua kuwa JDM sio habari tena watu siku hizo wapo GDM.
N:B: GDM zenyewe ni perfomance specs i.e AMG, M sport, GTI etc sio base models.
Hapo unakuwa unalinganisha samaki na ngedere Mkuu. Hiyo gari hata matangazo yake huwa naona yanapelekwa kwenye barabara ambazo Toyota Crown haiwezi kufika.
Kuhusu muonekano hata mimi binafsi sijavutiwa nayo.
Muhimu ni kujua historia ya gari. Unaweza ukawa unamjua na akawa kanjanja.
Sisi huku hatuna utaratibu wa kutunza kumbukumbu za matengenezo ya gari (service history). Duniani kwa wenzetu inawasaidia sana mnunuaji kujua kitu anachonunua maana kila matengenezo yaliyofanyika kwenye gari anakua...
Hao wa probox wanakiuka kweli taratibu wanatumia gari iliyosajiliwa kwa matumizi ya binafsi kufanya biashara
Ila hapo kwenye school bus naamini hailazimiki kuwa na namba za biashara kama gari hiyo haijakodishwa kutoka kwa mtu baki. Maana ikiwa hivyo itakuwa haileti mantiki; Yaani niwe na basi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.