Rais Samia Suluhu amefeli mazima kuendesha hii nchi

Rais Samia Suluhu amefeli mazima kuendesha hii nchi

Ponjoro wa Kinondoni

JF-Expert Member
Joined
Jan 5, 2024
Posts
3,535
Reaction score
9,607
Haiwezekani watu wanauawa, wanatekwa, yeye yupo tu. Kama kweli wanaofanya matukio haya ni wahalifu wasio julikana basi yeye ndiye chanzo.

Huenda watu wanaotekeleza mauaji haya wanajua kuwa yeye ni dhaifu na hana cha kuwafanya.

Unapokuwa Rais jukumu kubwa ni kulinda ustawi wa watu wako na kulinda mipaka ya nchi yako.

Haiwezekani watu watu wanauawa kwa silaha za moto (october 29 nakuendelea) wewe upo tu.

Raia zaidi ya 200 including aliyekuwa mteule wako wanatekwa wewe upo tu.

Mauaji ya October, utekaji si mambo yaliyotokea kwa bahati mbaya, ni either uliyapanga wewe au udhaifu wako umepelekea matukio hayo yatokee.

Tafadhali tuachie Tanganyika yetu. Mpe hata fisadi Nchimbi mtanganyika mwenzetu ila wewe kwakweli HAPANA.
 
Haiwezekani watu wanauawa, wanatekwa, yeye yupo tu. Kama kweli wanaofanya matukio haya ni wahalifu wasio julikana basi yeye ndiye chanzo.

Huenda watu wanaotekeleza mauaji haya wanajua kuwa yeye ni dhaifu na hana cha kuwafanya.

Unapokuwa Rais jukumu kubwa ni kulinda ustawi wa watu wako na kulinda mipaka ya nchi yako.

Haiwezekani watu watu wanauawa kwa silaha za moto (october 29 nakuendelea) wewe upo tu.

Raia zaidi ya 200 including aliyekuwa mteule wako wanatekwa wewe upo tu.

Mauaji ya October, utekaji si mambo yaliyotokea kwa bahati mbaya, ni either uliyapanga wewe au udhaifu wako umepelekea matukio hayo yatokee.

Tafadhali tuachie Tanganyika yetu. Mpe hata fisadi Nchimbi mtanganyika mwenzetu ila wewe kwakweli HAPANA.
Sidhani kama hayo uliyoyataja ni kipimo halisi cha kufeli kuongoza nchi. Itafika mahali utashindwa kumuingilia mkeo utamlaumu Samia.

Be focused
 
Idadi ya watanzania,idadi ya matukio,linganisha na mataifa mengine,utaona Tanzania tupo chini mno,kitakwimu kulinganisha na nchi zenye idadi ya watu kama sisi,je nchi zote hizo zimefail?,
*Mapenzi,
*Wivu
*Dhuluma
*Wizi
*Visasi
*Mafumanizi
*Husda tu za kutoana roho za wanadamu.
*Tamaa ya mali na utajiri
#Haya ni baadhi tu mambo yanaleta maafa katika jamii.
 
Idadi ya watanzania,idadi ya matukio,linganisha na mataifa mengine,utaona Tanzania tupo chini mno,kitakwimu kulinganisha na nchi zenye idadi ya watu kama sisi,je nchi zote hizo zimefail?,
*Mapenzi,
*Wivu
*Dhuluma
*Wizi
*Visasi
*Mafumanizi
*Husda tu za kutoana roho za wanadamu.
*Tamaa ya mali na utajiri
#Haya ni baadhi tu mambo yanaleta maafa katika jamii.
Acha ujinga wewe. Kifo hata kama ni mtu mmoja ameuwawa kinyume na sheria ni pigo kubwa kwa ndugu, jamaa na marafiki.
Marekani wanajali sana uhai wa kila raia wake.
Hao mliowauwa kuna engineers, doctors ambao wangelisaidia taifa.
Acha kujustify ushetani wa 29 October
 
Acha ujinga wewe. Kifo hata kama ni mtu mmoja ameuwawa kinyume na sheria ni pigo kubwa kwa ndugu, jamaa na marafiki.
Marekani wanajali sana uhai wa kila raia wake.
Hao mliowauwa kuna engineers, doctors ambao wangelisaidia taifa.
Acha kujustify ushetani wa 29 October
Fazulo penda kuzungumza kwa data,achana na wanasiasa wanaojali matumbo yao zaidi na kuwageuza wajinga mitaji!...
======

The International Committee of the Red Cross (ICRC) maintains the primary regional tracking network for missing loved ones. Based on their missing caseload records for the continent, the primary African countries with the highest number of disappeared individuals include: [1, 2, 3]
  • Nigeria: >24,000 cases
  • Somalia: ~9,500 cases
  • Mozambique: ~6,200 cases
  • Sudan: ~6,200 cases
  • South Sudan: ~5,900 cases
  • Ethiopia: ~5,400 cases
#Tanzania katika masuala ya uhalifu au watu kupotea hatupo kwenye rekodi hata ya nchi 20 zenye matukio hayo!
#ICC walipaswa kwanza waende kwenye nchi hizi,kuzibana serekali zao!
 
Haiwezekani watu wanauawa, wanatekwa, yeye yupo tu. Kama kweli wanaofanya matukio haya ni wahalifu wasio julikana basi yeye ndiye chanzo.

Huenda watu wanaotekeleza mauaji haya wanajua kuwa yeye ni dhaifu na hana cha kuwafanya.

Unapokuwa Rais jukumu kubwa ni kulinda ustawi wa watu wako na kulinda mipaka ya nchi yako.

Haiwezekani watu watu wanauawa kwa silaha za moto (october 29 nakuendelea) wewe upo tu.

Raia zaidi ya 200 including aliyekuwa mteule wako wanatekwa wewe upo tu.

Mauaji ya October, utekaji si mambo yaliyotokea kwa bahati mbaya, ni either uliyapanga wewe au udhaifu wako umepelekea matukio hayo yatokee.

Tafadhali tuachie Tanganyika yetu. Mpe hata fisadi Nchimbi mtanganyika mwenzetu ila wewe kwakweli HAPANA.
Mauaji ya October, utekaji si mambo yaliyotokea kwa bahati mbaya, ni either uliyapanga wewe au udhaifu wako umepelekea matukio hayo yatokee.
 
Fazulo penda kuzungumza kwa data,achana na wanasiasa wanaojali matumbo yao zaidi na kuwageuza wajinga mitaji!...
======

The International Committee of the Red Cross (ICRC) maintains the primary regional tracking network for missing loved ones. Based on their missing caseload records for the continent, the primary African countries with the highest number of disappeared individuals include: [1, 2, 3]
  • Nigeria: >24,000 cases
  • Somalia: ~9,500 cases
  • Mozambique: ~6,200 cases
  • Sudan: ~6,200 cases
  • South Sudan: ~5,900 cases
  • Ethiopia: ~5,400 cases
#Tanzania katika masuala ya uhalifu au watu kupotea hatupo kwenye rekodi hata ya nchi 20 zenye matukio hayo!
#ICC walipaswa kwanza waende kwenye nchi hizi,kuzibana serekali zao!
Kwahiyo Mkuu unamaanisha mpaka na sisi numbers ziongezeke walau zifikie za Ethiopia ndio ICC waanze kuchukua hatua?
 
Idadi ya watanzania,idadi ya matukio,linganisha na mataifa mengine,utaona Tanzania tupo chini mno,kitakwimu kulinganisha na nchi zenye idadi ya watu kama sisi,je nchi zote hizo zimefail?,
*Mapenzi,
*Wivu
*Dhuluma
*Wizi
*Visasi
*Mafumanizi
*Husda tu za kutoana roho za wanadamu.
*Tamaa ya mali na utajiri
#Haya ni baadhi tu mambo yanaleta maafa katika jamii.
Kwa hiyo hivyo ulivyoorodhesha hapo ndio vilisababisha idadi ya vifo siku ya Octoba 29.? Kama sio kwa nini takwimu zipo juu kwenye utawala wa huyu Mzanzibar?
 
Sio kufeli kwa samiah Wala JPM Wala mkapa Wala watangulizi wake!!

Taifa lilisha feli kwenye kutunga vipaumbele vyake kabla ya kumfelisha kiongozi!!
Rais anapewa jukumu la kulinda chama badala ya kulinda taifa!!

Anapewa jukumu la kulinda urais wake badala ya taifa kulinda maslahi yake na rais abaki kama mtekelezaji!!

Comrade hata ukipewa wewe utafeli coz hakuna organ itakayokusimamia ipasavyo bali wewe ndio utaisimamia organ!!

Nailaumu idara za Siri za taifa hili na sio past, present wala future president!!
 
Haiwezekani watu wanauawa, wanatekwa, yeye yupo tu. Kama kweli wanaofanya matukio haya ni wahalifu wasio julikana basi yeye ndiye chanzo.

Huenda watu wanaotekeleza mauaji haya wanajua kuwa yeye ni dhaifu na hana cha kuwafanya.

Unapokuwa Rais jukumu kubwa ni kulinda ustawi wa watu wako na kulinda mipaka ya nchi yako.

Haiwezekani watu watu wanauawa kwa silaha za moto (october 29 nakuendelea) wewe upo tu.

Raia zaidi ya 200 including aliyekuwa mteule wako wanatekwa wewe upo tu.

Mauaji ya October, utekaji si mambo yaliyotokea kwa bahati mbaya, ni either uliyapanga wewe au udhaifu wako umepelekea matukio hayo yatokee.

Tafadhali tuachie Tanganyika yetu. Mpe hata fisadi Nchimbi mtanganyika mwenzetu ila wewe kwakweli HAPANA.
Hebu tupe mazuri ya samia pia tulinganishe
 
Back
Top Bottom