Im a director in one of the companies.. I got my second child nikiwa director. Na Sasa hivi nina mimba nyingine..
Nilichokifanya kwangu mimi Ni kutengeneza systems na kuhakikisha I have good team under me, equip and coach them...and so safari Ndogo Ndogo they can go..
Mtoto akiwa Mchanga huwa...
Duu pamoja na ubishi wangu wote..kwa hili una mantiki na unavyosema..
Ngoja na Mie niombe tulioko tegeta tuuziwe buku Mbili.. Maana Twiga cement wako Karibu..
Lol...hivi wanaume huwa hawapewagi mafunzo kabla ya ndoa eeh...hebu nichangamkie fursa mimi..maana on a seious note sio kila mwanaume anafaa kuwa mume...
Hahaa....The Boss njoo umpatie huyu ndugu guidelines za kuchepuka maana lol...wacha nisije nikala ban...
Back to topic Mkeo Ni mwanamke shoka lol...na atakuwa anajitambua haswaa maana wale wanaokurupukaga Na mabegi ooh naenda kwetu or sijui takataka gani....hw wanatania tu...
Dada kashajivika...
Msinipopoe mawe...ila niwaulize swali..nani asiyejua kuwa watu wengi baada ya kustaafu maisha huwa magumu Sana na wengi hutegemea kutunzwa na watoto wao...mimi Ni mfanyakazi pia ila ninachofikiri mimi Ni kuwa tufight tulipwe 60-75 percent halafu hy nyingine ndio ilipwe kama formula yao inavyosema..
Wadau habari,
Naomba Msaada kwa walioko arusha au wanaofahamu bei za tiles arusha. Naomba msaada ufuatao.
1. Bei za Ceramic Tiles per sqare metre na bei za porcelain tiles(za jikoni na bafuni zisinyonya maji)
2. Maduka gani wanauza na yako sehemu gani arusha
asanteni sana.
Sijapita huku siku nyingi lakini pia mimi nilishtuka kidogo nilivyoona tangazo jana kwenye gazeti kuhusu hiyo kampuni na limesainiwa na mengi. Pamoja na kwamba naikumbuka nicol na naogopa kidogo lakini kama capital markets walikataaga hii kitu ya kukusanya mtaji?(I stand to be corrected though)I...
Hahaa mtakoma mwaka huu!efatha inawagusa pabaya eeh!tumieni akili na nyie,efatha ina waumini zaidi ya 30000, hivi kiongozi wetu akiandaa sherehe na akatualika wote tuhudhurie mnafikiri itacost kiasi gani.kakuambia nani kuifanya hiyo sherehe ni mzigo kwa efatha.?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.