Kazitunayo
JF-Expert Member
- Mar 30, 2013
- 3,622
- 2,000
Kuna club inafunguliwa maeneo ya mbezi beach inaitwa LA club itakua inapiga nyimbo za dini tupu,mavazi ya heshima na vinywaji ni soda na juice tu katikati ya mziki kutakua na maombi alaf mziki kama kawaida..naombeni maoni yenu