Ulisema kuna siku ulirudi nyumbani ukataka mkeo akufanyie kama mdigo alipokataa ulimbaka,au ulimuingilia kinyume?ikumbukwe maumivu aliyoyapata enzi ukistarehe ndio unayoyapata sasa ongeeni kila MTU awe huru
Sent from my TECNO-L8Plus using JamiiForums mobile app
Kwani mama wa nyumbani hafanyi kazi?hata wanaume wengine wasomi wanawaachia wake zao majukumu yote na hiyo ni vice versa mkubaliane na hali,ndoa huanza na urafiki then Upendo,uvumilivu,na kusaidiana,sasa wewe oa msomi au olewa na msomi kwa intention ya kusaidiana UTAJUTA*
Sent from my...
Ishu za kuvumilia siziungi mkono hata kidogo. Kuna tabia ambazo ni ngozi huwa hazibadiliki atavumilia wee mwisho aibuke na magonjwa ya moyo na kisukari. Kwanza ghubu huondoa ladha ya mapenzi ajipimie mwenyewe akiona haifai aamue tu
Mimi nachoamini tendo hilo ni hisia, labda wewe unajiandaa mwenyewe bila kumuandaa, nyakatu nyingi wanawake wanabakwa na waume zao, lkn pia msongo wa mawazo huondoa hamu ya tendo la ndoa, lkn pia hakuna forum ya kujadili masuala ya mapenzi pamoja thus why anakujibu amechoka , aongee na nani juu...
Nadhani ifikie mahali tuzame zaidi kwenye hoja za msingi, tutakuwa vichaa bure?Leo tunachunguza ndoa ya Adam na Eva?Isome mwanzo sura ya kwanza vizuri, siku ya sita Mungu alimuumba mwanaume na mwanamke.........akawabarikia akasema zaeni mkaongezeke......tusome vizuri na tusipotoke
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.