Habari zenu wana jf naombeni ushauri kwenu. Nifanyeje? Maana nimejikuta simpendi tena mume wangu kwani amezid wivu .
Nimekuwa ni mtu wa kushinda nyumbani tu hataki nijishughulishe wala kutoka kwenda kwenye sherehe na misiba hataki, pia hataki hata niongee na mtu yeyote yule hata jirani. Sasa naona kero na nimepata naye mtoto mmoja
Natamani niachike ili niepukane na kero hiii naombeni ushauri wenu
Aksanteni...
Nimekuwa ni mtu wa kushinda nyumbani tu hataki nijishughulishe wala kutoka kwenda kwenye sherehe na misiba hataki, pia hataki hata niongee na mtu yeyote yule hata jirani. Sasa naona kero na nimepata naye mtoto mmoja
Natamani niachike ili niepukane na kero hiii naombeni ushauri wenu
Aksanteni...