Kua single kuzuri sana

Uko sawa member hata mid huwa kuna wakati nahitaji niwe na mpenzi na kuna wakati napenda niwe peke yangu maana Luna vitu huwa nikianza kufanya nachukua karibu muda mwingi sasa ukiwa na girlfriend SAA nyingine vitu haviendi anataka muda wote uwe nae
mapenzi ni matamu ila kuna kipindi na kipindi
hii nii kweli...wanawake wana raha yao lakini kama huna mwanamke mwelewa ni adui wa maendeleo.
 
Wakuu

Napata faraja sana ya maisha hasa baada ya kupitia mikikimikiki ya mapenzi, 96% ya akili yangu ilikua ikitumika kuwaza anayeitwa mwanamke niliempenda badala ya kuwaza mambo ya maana kama project za maendeleo ila baada ya kumuacha mpenzi niliempenda sasa naishi saaafi bila stress zozote.

Kupenda mtu ni kubaya sana, 99% za ubongo zinakua zinamuwaza umpendae na akijua unampenda utajuta, ATAKUFANYIA TIMBWILI ZA KILA AINA ila nachofurahi tu ni kua huwezi kukomaa kimapenzi kama hujawai umizwa, kama wewe bado,basi jua siku zinakuja.

Now am FREE

No woman no cry
Naona umepata wafuasi wengi sana, jiandae kuwa mwenyekiti wao wa chaputa.... Ila tahadhari mpige nyeto kwa ustaarabu sio mnagonga mpaka mnaichosha misuli ya uume
Karibu kwenye ulimwengu wa "i dont care".

karibu chamani
 
Wakuu

Napata faraja sana ya maisha hasa baada ya kupitia mikikimikiki ya mapenzi, 96% ya akili yangu ilikua ikitumika kuwaza anayeitwa mwanamke niliempenda badala ya kuwaza mambo ya maana kama project za maendeleo ila baada ya kumuacha mpenzi niliempenda sasa naishi saaafi bila stress zozote.

Kupenda mtu ni kubaya sana, 99% za ubongo zinakua zinamuwaza umpendae na akijua unampenda utajuta, ATAKUFANYIA TIMBWILI ZA KILA AINA ila nachofurahi tu ni kua huwezi kukomaa kimapenzi kama hujawai umizwa, kama wewe bado,basi jua siku zinakuja.

Now am FREE

No woman no cry
Pole sana mkuu, niliwahigi kupata vidonda vya tumbo kisa mwanamke
 
Back
Top Bottom