Mwanamke kakimbia na akili yangu

Mwanamke kakimbia na akili yangu

Pole sana mkuu wenzetu huwa wanasema "Karma is a bitch it serves you exactly the same" kumbuka maumivu uliyokuwa unampa mkeo.....what goes around?????? Vumilia tuu

Sent from my Iphone 7 plus using JamiiForums app
 
Km najaribu kuona what's next. Kuna jamaa kitaa ilikuwa km hivi tukamchukulia masihara tumekuja kutahamaki kaua wote wawili.

Kitendo cha kusema tatizo ni ujasiri tosha. Sasa basi usimdhuru please hayo ni mapito tu. Tafuta wazee wenye busara sana wawakalishe Hao woote wawili wawaombe watoke humo ndani. Na ikibidi report police tena waeleze kabisa mawazo yanayokujia ni mabaya. Nadhani utasaidiwa

Dunia ingekuwa na mlango kuna Mtu ningemtoa nje
 
Km najaribu kuona what's next. Kuna jamaa kitaa ilikuwa km hivi tukamchukulia masihara tumekuja kutahamaki kaua wote wawili.

Kitendo cha kusema tatizo ni ujasiri tosha. Sasa basi usimdhuru please hayo ni mapito tu. Tafuta wazee wenye busara sana wawakalishe Hao woote wawili wawaombe watoke humo ndani. Na ikibidi report police tena waeleze kabisa mawazo yanayokujia ni mabaya. Nadhani utasaidiwa

Dunia ingekuwa na mlango kuna Mtu ningemtoa nje


Ushauri wako ntautafakari kk, asante kwa muda wako
 
Tena na yeye anampa huyo njemba hata "visivyotolewa" aisee MUNGU awarehemu mnooo,shetani anawafanya anavyotaka yeye hebu jaribu kutubu kwa imani yako MUNGU wetu ni mwingi wa Rehema na Upendo atakufanya mpya...."tazama ya kale yamepita nayo yamekuwa mapya" ukitubu kweli na kumlilia yeye aiseee atakufanya imara nawe utamuishi yeye siku zote za maisha yako,.hayo mabaya unayoyawaza unampa shetani nafasi ya kuharibu zaidi,.tafakari chukua hatua na MUNGU wa mbinguni akutetee.
 
Tena na yeye anampa huyo njemba hata "visivyotolewa" aisee MUNGU awarehemu mnooo,shetani anawafanya anavyotaka yeye hebu jaribu kutubu kwa imani yako MUNGU wetu ni mwingi wa Rehema na Upendo atakufanya mpya...."tazama ya kale yamepita nayo yamekuwa mapya" ukitubu kweli na kumlilia yeye aiseee atakufanya imara nawe utamuishi yeye siku zote za maisha yako,.hayo mabaya unayoyawaza unampa shetani nafasi ya kuharibu zaidi,.tafakari chukua hatua na MUNGU wa mbinguni akutetee.


Aante sana kwa ushauri wako wa kutia moyo uwe na jumapili njema
 
Ulisema kuna siku ulirudi nyumbani ukataka mkeo akufanyie kama mdigo alipokataa ulimbaka,au ulimuingilia kinyume?ikumbukwe maumivu aliyoyapata enzi ukistarehe ndio unayoyapata sasa ongeeni kila MTU awe huru

Sent from my TECNO-L8Plus using JamiiForums mobile app
 
Ni kweli kabisa afya yangu imezorota kupita kiasi. Lakini sidhani kama kurudiana naye itawezekana tena. Kinachoniuma sio yeye kua na mtu mwingine lkn kumleta ndani kwangu ndo kunakonifanya nifikirie siku moja nirudi nimelewa niwangojee waingie ndani nichome nyumba moto nitokomee nikafie mbali .
Mkuu ni kweli amekukosea lakini kumuua sio the best option.. Ukijua wewe ndoto muanzilishi

Post sent using JamiiForums mobile app
 
Tuorodheshehe hivyo ulivyo kupa amabavyo huwa havitolei na hujawai kupewa
Wewe rudi tuu nyumbani hayo ulitaka wewe kila mtu ameumbiwa hisia na kila aliye kuwa ktk mapenz anaweza kuchipuka ila utu na heshima ndiyo vitajenga nyumba
SHIDA INAKUJA MWANAMKE AKIFANYA KWICHIKWICHI NJE YA NDOA HUWA ANAJIACHIA KAMA MITHILI NA ZAIDI YA YULE MDIGO
Cha Msingi Jikite ktk Kupiga Kazi na ukaze moyo tuu ataludi mwenyewe kama ulivyo ludi maana hato olewa
ANACHOFANYA HALIPIZI KISASI ILA ANAFANYA KAMA ULIVYO MFANYOA

Sent from my itel it1556 Plus using JamiiForums mobile app
 
Tumia akili yako hapo
Kaa chini umiza kichwa jinsi ya kulitatua hili suala,

Jifunze kuishi na watu vyema hata ukifanya mambo yako Fanya kwa siri na kwa akili usivuke mipaka.

Mkeo ndio kila kitu,
Huyo hawara wako mdigo hana maana.
 
Mbona hii ni hadithi zaidi ya actual Event sipati Picha kwa mke kuleta mwanaume nyumbani tena kwenye Nyumba uliyojenga wewe?kwa mwanaume wa ukweli timbwili lake lazima magazeti ya "Shigongo" yangeweka Kambi hapo uwanjani kwako na vichwa vya habari km hivi "Apasuliwa utumbo kwa kutembea na mke wa mtu,alihamia kabisa nyumbani kwa huyo kimada"

Post sent using JamiiForums mobile app
 
Mungu baba tetea ndoa za watu wako,ulikosea sana ukamuachia kidonda kisichopoa lkn anayelipiza ubaya ndio kakosea zaidi na anaharisha uhai wake japo ye anahic anakukomoa,nakama mna watoto kitu wanachokiona kwenu aisee ni dhambi kubwa mno,ita washenga na watu wazima myajadili wote niwakosefu ili msamehe ane muanze maisha mapya,ikishindikana achaneni tu kuliko muje kuuana Bure mmoja aozee jela

Post sent using JamiiForums mobile app
 
Mkuki kwa nguruwe, uloyafanya ni mabaya zaidi, wala mama Yasi hana kosa kubwa, Wewe ndiyo chanzo cha yote.Fanya yako tu ukiona huwezi hama Wewe kagie mbali kama ulivyosema. Yaani ulitaka abaki mnyonge mpaka lini! Khaa!

Sent from my itel it1508 using JamiiForums mobile app
 
Tuliza akili na ufanye kazi kwa umakini Mkuu,pia jitahd uache pombe.Kwa issue ya Mama Yasi jitahd sana uzungumze nae vzur nahc atakuelewa tu

Post sent using JamiiForums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom