Samahani sana mkuu kama nimekukwaza ila mambo ya wazazi naomba yaishie hapaKwani baba yako kipindi anamtongoza mama yako mama yako alikuwa bikra?
Samahani sana mkuu kama nimekukwaza ila mambo ya wazazi naomba yaishie hapaKwani baba yako kipindi anamtongoza mama yako mama yako alikuwa bikra?
Ukiona ngedere mjini ujue ana mwenyewe.
Aiseee.....hili jibu nyokooUkiona ngedere mjini ujue ana mwenyewe.
anataka kufikiri kwa kutumia kichwa cha chininakushauri acha ujinga
Sawa na mimi si nitamgharamia kwani inashindikana nini mkuu?
Ifike pahala watu muwe mnafanya yenu
Sio kila siku kufatilia ya wenzenu
Utagharamia nini kenge wewe wakati tayari mwenyewe nahudumia yule demu na keshanipa stori zako zoote!Sawa na mimi si nitamgharamia kwani inashindikana nini mkuu?