Recent content by Trust me ankali

  1. Trust me ankali

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Mwezi unaonesha dalili njema huu unaweza kuwa na mikeka mingi uliopita ilikua inatoka Kwa machale Sana ngoja tusubiri mkuu
  2. Trust me ankali

    Naomba msaada kwa wenye uzoefu wa practical interview serikalini

    Ngoja waje wazoefu mkuu tunangoja wote hapa kupata madini
  3. Trust me ankali

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Wakuu kuna mkeka mrefu umetoka leo tunangoja shuhuda mlio lamba asali
  4. Trust me ankali

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Pole Sana mkuu hizi ajira zina ushindani Sana nafasi 5 unakuta wanapambania watu 300 ukikosea kidogo Tu umeliwa kichwa muda mwingine utafanikisha hata isikutoe mchezoni kabisa
  5. Trust me ankali

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Kama deadline ya kutuma maombi ya hiyo nafasi ilishapita kubarisha si rahisi ila Kama bado wanapokea maombi unaweza saidiwa kinyume na hapo no ngumu lakini nenda kawacheki unaweza ukatoboa tusikukatishe tamaa Kama Dodoma unafika kirahisi
  6. Trust me ankali

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Hongera Sana mkuu kapige kazi hizo shuhuda ni marketing Tosha zinatupa moyo wakusubiri na Sisi muda wetu
  7. Trust me ankali

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Mahakama watu wameitwa kazini tangu wiki iliyopita hukuona mkeka mkuu?
  8. Trust me ankali

    Naomba kufahamishwa haya kuhusu NBC Kiganjani

    Kujifungulia account mwenyewe hapo hapo inaanza kufanya kazi na unapata akaunti namba muda Huo huo kitakachokupeleka Tawini ni kufata Kadi ya ya bank kama utaihitajiambayo hii utaiomba mwenyewe baada ya kufungua akaunti ila matumizi ya sim bank yote utafanya kama kawaida ikiwemo kuweka pesa...
  9. Trust me ankali

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Wakuu nimeona mikeka huko leo tunangoja shuhuda!. hakuna walioramba asari humu?
  10. Trust me ankali

    Msaada Ajira Portal NIOMBE IPI?

    Mkuu unaweza type au uandike kwa mkono ila Jambo la muhimu ni signature yako iwe halisi umetumia mkono kusign kuhusu nafasi omba zote
  11. Trust me ankali

    Je, kuna namna naweza fanya niweze kuomba ajira serikalini ikiwa majina ya nida yametofautiana na vyeti vya kitaaluma

    Mkuu Mimi nimerekebisha jina la mwisho surname NIDA kwa kulipia 20k Tu hiyo hesabu umepewa wapii mkuu au jina ulilotumia NIDA kama surname ulilikosea katika mazingira yapi Mimi kwangu walikosea wao NIDA kuliandika
  12. Trust me ankali

    Dawa ya vidonda vya tumbo kwa wale wanaosumbuliwa.

    Nipe Mimi nikijaribu moja nitanunua tatu baada yakuona mrejesho WA hiyo ya Kwanza
  13. Trust me ankali

    Niulize swali lolote kuhusu uchumi au biashara

    The business of business is business. Discuss.
Back
Top Bottom