Recent content by Tripper

  1. Tripper

    Mtanzania anasema alipata $35,000 kuingia jeshi la Russia na analipwa $3,000 kila mwezi. Kwa gharama gani lakini?

    Kama unajiona huna akili, jitahidi watu wasijue. Kukaa kimya ili ujifunze kwanza ni vizuri zaidi. Sasa hebu tuambie vigezo vinavyotumika kupima nguvu ya jeshi la taifa fulani.
  2. Tripper

    Video: Wanasimba wakataa uchawa wa kisiasa

    Kilichompata Mangungu kikampata na Samia😂
  3. Tripper

    Video: Wanasimba wakataa uchawa wa kisiasa

    Engineer hawezi mzuia Msigwa kuja hapo. Kwanza msigwa hana aibu.
  4. Tripper

    Mama yangu ananilazimisha niingie uchawini, wakuu nifanyeje

    Comment ya kipuuzi zaidi kwenye huu using.
  5. Tripper

    Hivi hawa matapeli wanaotapeli watu huwa hawaogopi karma ?

    Kuna jamaa ni tapeli balaa, lakn kilasiku watu wanazidi kujilengesha watapeliwe. Anakula bata balaa .
  6. Tripper

    Ukiwa na mwenza limbukeni zingatia haya

    Nliwahi pata dem kijiji flan alikuwa ni wa kawaida tu sio mzuri sana, lakn kwa pale kijijini alikuwa anaoneka mrembo sana, mi nlikuta ndo nmehitimu mwaka wa 3 UDSM. Nmedeti nae lakn akawa anaona kama nmebahatisha kuwa nae. Full kujisifu kuwa yeye ni mrembo, mara ajione kama kanionea huruma, mi...
  7. Tripper

    Wale tuliokosea kuoa tukutane hapa

    vp mnandeleaje mkuu, ni miaka minne sasa😄
  8. Tripper

    Coach Fadlu: Simba hii haivutii kuitazama ikicheza

    Hamna haja ya kuongea nae, cozy uwezo wake ndo ulipoishia how on earth timu kubwa kama simba haina uwezo wa kutengeneza nafasi, afu sio mechi hii tu. Kuna mechi nyingi tu unaona kabisa simba hana dalili ya kupata goli. Penalties za mchongo zmetuokoa sana
  9. Tripper

    GSM Ametufanya anachotaka

    Mchezaji akiguswa kidogo tu anaanguka, timu inashambuliwa utadhani anacheza Yanga na Tabora united. Ukisema ukweli unaonekana we ni Yanga. Msimu huu hata marefa wametubeba sana. Hata kile kipigo kutoka Black stars ni kwamba tulikuwa overpowered.
  10. Tripper

    Je, kuna namna naweza fanya niweze kuomba ajira serikalini ikiwa majina ya nida yametofautiana na vyeti vya kitaaluma

    Salaam, Mimi Namba yangu ya NIDA imepishana jina la mwisho (Ukoo) na jina la kwenye vyeti vya taaluma. Niijarbu kwenda ofisi za NIDA kufatilia utaratibu wa kubadilisha Majina ili yaendane nlipewa utaratibu wa kufuata. Lakini changamoto ikawa kwenye gharama yaan kila hatua kuna gharama, nida...
Back
Top Bottom