Kama unajiona huna akili, jitahidi watu wasijue. Kukaa kimya ili ujifunze kwanza ni vizuri zaidi. Sasa hebu tuambie vigezo vinavyotumika kupima nguvu ya jeshi la taifa fulani.
Nliwahi pata dem kijiji flan alikuwa ni wa kawaida tu sio mzuri sana, lakn kwa pale kijijini alikuwa anaoneka mrembo sana, mi nlikuta ndo nmehitimu mwaka wa 3 UDSM. Nmedeti nae lakn akawa anaona kama nmebahatisha kuwa nae. Full kujisifu kuwa yeye ni mrembo, mara ajione kama kanionea huruma, mi...
Hamna haja ya kuongea nae, cozy uwezo wake ndo ulipoishia how on earth timu kubwa kama simba haina uwezo wa kutengeneza nafasi, afu sio mechi hii tu. Kuna mechi nyingi tu unaona kabisa simba hana dalili ya kupata goli. Penalties za mchongo zmetuokoa sana
Mchezaji akiguswa kidogo tu anaanguka, timu inashambuliwa utadhani anacheza Yanga na Tabora united. Ukisema ukweli unaonekana we ni Yanga. Msimu huu hata marefa wametubeba sana. Hata kile kipigo kutoka Black stars ni kwamba tulikuwa overpowered.
Salaam,
Mimi Namba yangu ya NIDA imepishana jina la mwisho (Ukoo) na jina la kwenye vyeti vya taaluma. Niijarbu kwenda ofisi za NIDA kufatilia utaratibu wa kubadilisha Majina ili yaendane nlipewa utaratibu wa kufuata.
Lakini changamoto ikawa kwenye gharama yaan kila hatua kuna gharama, nida...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.