GSM Ametufanya anachotaka

GSM Ametufanya anachotaka

😂😂😂na mshukuru bodi ya ligi mechi zenu kama 6 za mapenatu na red kadi ziliwafanya kuwania nafasi ya 2. Ila uhalisia hakumstahili kabisa.

Tatizo mashabiki nyie......
 
Mchezaji akiguswa kidogo tu anaanguka, timu inashambuliwa utadhani anacheza Yanga na Tabora united. Ukisema ukweli unaonekana we ni Yanga. Msimu huu hata marefa wametubeba sana. Hata kile kipigo kutoka Black stars ni kwamba tulikuwa overpowered.
 
Simba tusubiri risiti za Mo tu, tujiandae kulipa.
Ni kweli, mechi tano non stop tunapigwa! Msimu ujao tutapigwa tena mfululizo hadi turudishe watu wafia timu.
 
Hongera kwa kuwa muwazi, haya dunduka yeyote mwenye dukuduku na timu yake, huu uzi ndiyo wa kutemea sumu viongozi wenu.

#YANGABINGWA2024/2025 🏆🏆🏆
🟨🟩🟨🟩🟨🟩🟨🟩🟨🟩🟨🟩🟨🟩🟨
 
Ukitaka ujue hili,angalia ni wachezaji wangapi wa Simba wanaingia first eleven ya Yanga
 
Ukitaka ujue hili,angalia ni wachezaji wangapi wa Simba wanaingia first eleven ya Yanga
Mkuu Kwa uchambuzi wako hebu niambie ni nani na nani


Kwangu mi japo ntakua biased naweza kusema

1. Diarra( Camara namkubali ila sipendi akidaka mpira anavyopoza mashambulizi).
2.kapombe
3.zimbwe
4.bacca
5.job
6.aucho
7.pacome
8.mudathir
9.mzize( dube na ateba wote naona wanapelea)
10.ahoua
11.mpanzu
 
Tunajenga timu, hata hivyo tumevuka malengo tuliyojiwekea msimu huu.

Acha porojo kijana, alisikika shabiki lialia wa kolo akizungumza.
 
Tuseme ukweli kwanini levo ya kujituma kwa wachezaji wetu huwa iko chini sana.


Yaweza kuwa team si mbaya sana lkn hata kipindi yanga wanakuwa wabovu bado hutusumbua. Utakuja kuona wachezaji wao wanajitoaga sana.

Simba wachezaji wanacheza kama wanasukumwa yaani wapo wapo tu.
Tunazidiwa na mbinu nje ya uwanja,hata Mimi Huwa najiuliza,wachezaji wa simba one against one na mchezaji wa yanga,wa utoplo anachukua mpira
 
Wanasimbaaa,

Kwa ufupi Yanga tumewashindwa! Hata hizi danki danki za majuzi ni uoga wetu tu.


Fact ni tuache janja janja GSM atatufanya anachotaka hadi tupate uwekezaji serious ili tujenge timu ya maana.

Tuache maneno mengi, Yanga hawakujenga timu kwa kuleta watoto, walileta watu wa kuwapa matokeo.

Msimu mwingine wa kinyonge, msimu mwingine wa kuongeza idadi ya mechi mtani katufanya alichotaka.

Msimu huu mpya tutafanya makosa Yale Yale! Usajili mbovu na janja janja.

Haya subirini faraja ila facts ni facts! Tumewashindwa mfululizo hadi aibu! F**
Imbeni wimbo wenu wa GSM anaharibu ligi.
 
Mchezaji akiguswa kidogo tu anaanguka, timu inashambuliwa utadhani anacheza Yanga na Tabora united. Ukisema ukweli unaonekana we ni Yanga. Msimu huu hata marefa wametubeba sana. Hata kile kipigo kutoka Black stars ni kwamba tulikuwa overpowered.
Simba anatakiwa aombe ashiriki shirikisho ndiyo saizi yake.
 
Rage aliwaita mbumbumbu
Mangungu alimleta manzoki kwenye mkutano mkuu
 
1748148039078.jpg
 
Simba janja janja nyingi! Usajili wa kuokoteza okoteza, kisha mashabiki wanajazwa meneno ya yule msemaji wao asiyejitambua na wanajaa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom