Kama nimemuelewa mtoa mada, hajasema kufungia kazi zao bali kudili na nidhamu na tabia zao wengi tabia zao mbaya,, na kinacho wapa jeuri ni ule wanaita umoja wao wa kishamba kwamba ukizinguana na mmoja wanakuja mia,,
Mimi naona wenye hizi taarifa na wanachagua kufichaficha majina ya wahusika ndio wanaopromoti huu ujinga,, mnaficha nini,? Weka wazi watu waseme ijulikane wamalizwe basi,, code za nini,,
Btw: darslam hakuna wanaume kuna mashoga tu,, ishi sana Mamba.
Tatizo unajua linaanzia wapi? Hapo hapo unaposema nipite hapa nipige zangu mbili tatu niende home ndipo shetani naye anainuka,, unasikia dj anatangaza leo ni usiku wa mswahili tepe tepe nyuma yake kuna wadada wale wa robo tatu uchi wanatingisha viuno kwa mitindo mbalimbali ya kutia hamasa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.