Recent content by Trimmer

  1. Trimmer

    JamiiForums Tanzania Akija Rais atakaye deal na bodaboda nitamshukuru

    Kama nimemuelewa mtoa mada, hajasema kufungia kazi zao bali kudili na nidhamu na tabia zao wengi tabia zao mbaya,, na kinacho wapa jeuri ni ule wanaita umoja wao wa kishamba kwamba ukizinguana na mmoja wanakuja mia,,
  2. Trimmer

    JamiiForums Tanzania Malizia hii wikiendi kwa kuendelea kukataa pombe na ulevi. Jilinde dhidi ya kufirisika, magonjwa, talaka, kudumaa na kufanya vituko ukiwa umelewa

    Si bei imepanda,, piga chini huo upuuzi mpaka wauze bia buku buku,, shwaini,,
  3. Trimmer

    JamiiForums Tanzania Je, ukweli ni upi kuhusu vyombo tunavyotumia Kwa chakula?

    Turudi kwenye vyungu na miko ya mbao,,?
  4. Trimmer

    JamiiForums Tanzania Hivi duniani kuna starehe kama hii?

    Ila mkuu unalewea pachafu sana,,
  5. Trimmer

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Hivi Vitendo Visivyofaa kwenye mpira wetu vidhibitiwe na vichunguzwe

    Mimi naona wenye hizi taarifa na wanachagua kufichaficha majina ya wahusika ndio wanaopromoti huu ujinga,, mnaficha nini,? Weka wazi watu waseme ijulikane wamalizwe basi,, code za nini,, Btw: darslam hakuna wanaume kuna mashoga tu,, ishi sana Mamba.
  6. Trimmer

    JamiiForums Tanzania Team Yuda mpoo?

    Hata uwe genius vipi,, kuna code huwezi fumbua,, acha tu hii inipite,,
  7. Trimmer

    JamiiForums Tanzania Hizi ndio Jamii tajiri zaidi Tanzania?

    Hao wasukuma mbona wamekimbia Mwanza ambao ndio mji wao mkuu,, Mwanza 1 Zongii (mjaruo) 2 Mansoor (mwarabu) 3 Gachuma (mkurya)
  8. Trimmer

    JamiiForums Tanzania Siku ya 2: Ulimwengu wa raha 😋: Hapo hapo, hivyo hivyo, usiache….

    Maisha yakupe nini zaidi,, mwewe,,,
  9. Trimmer

    JamiiForums Tanzania Sitakuja kuoa kamwe. Siamini kwenye Mapenzi

    Utoto tu ukikua utaacha
  10. Trimmer

    JamiiForums Tanzania Siku nilipogundua kukesha club si sawa kwangu

    Tatizo unajua linaanzia wapi? Hapo hapo unaposema nipite hapa nipige zangu mbili tatu niende home ndipo shetani naye anainuka,, unasikia dj anatangaza leo ni usiku wa mswahili tepe tepe nyuma yake kuna wadada wale wa robo tatu uchi wanatingisha viuno kwa mitindo mbalimbali ya kutia hamasa...
  11. Trimmer

    JamiiForums Tanzania Hii ndio siri ya wasukuma kuhusu utoaji wa zawadi kubwa kwenye send-off zao

    Kwahiyo ndugu wa mume waliotegemea angalau ka IST kwa shemeji au wifi yao itakuwaje,,!
  12. Trimmer

    JamiiForums Tanzania Je wajua hili?

    Utakufa kwa mapenzi ya Mungu si kwa "kujiua"
Back
Top Bottom