Recent content by Trimmer

  1. Trimmer

    Haika Lawere wa 'Mbezi Garden' apewa Talaka

    Sijakuelewa mkuu hebu fungua hizo code,,
  2. Trimmer

    Shadrack Chaula alitekwa na wauaji na kupotezwa hadi leo hatujui alipo

    Hujawekewa m100 kwenye akaunti yako labda,,
  3. Trimmer

    Kenya is going cashless

    Kama nchi tumechelewa sana kufika huko,,
  4. Trimmer

    kumbe inshu ya maroboti ya kusifia kwenye mitandao ya kijamii ni kweli

    Bado makofi na vigelegele vya kwenye hadhira vinawaumbua
  5. Trimmer

    TANZIA Muigizaji Chuck Norris afariki dunia akiwa na miaka 86

    Rest in peace Kamanda ulituburudisha sana utoto wetu,, ilikua ni kufosi tu utumwe dukani ili upate ganji ya shing 50 ya kuingilia video show enzi hizo,, daah Kifo cha Norriss kimenifanya niwakumbuke wanangu kadhaa waliotangulia mbele ya haki,, hakika kifo tuliumbiwa wanadamu,,
  6. Trimmer

    Toyota Land cruiser LC 300 recall

    Yawalipukie tu mbwa hao
  7. Trimmer

    Ujumbe wa Mange Kimambi na vita ya Iran na Trump

    Iran akishindwa hii vita basi madikteta wote duniani plus vyama chakavu vyote vitakua on notice,, chukua hiyo,,
  8. Trimmer

    Siku hizi matapeli wanatapeli hadi wa Wakuu wa Mikoa? Kuna huyu kakamatwa na RC wa Tabora alikuwa anajifanya ni Mchengerwa

    Haya matukio mawili akili yangu imegoma kabisa kuyaamini,, na yote yametokea mkoani Tabora hili la huyu tapeli na lile la kichanga Grace Samia
  9. Trimmer

    Sangara Ziwa Victoria: Ni Baraka kwa Uchumi au Laana kwa Ikolojia ya Samaki wetu wa Asili?

    Kama kuna wakati ambao maafisa wa uvuvi na wakaguzi wa samaki watatajirika basi ni huu,, hakuna wanachofanya kabisa wanafika mpaka viwandani kukagua lakini wakitega mgongo tu uchakataji wa samaki wadogo unaendelea hii maana yake ni kwamba wanafika viwandani kuchukua chao na si kutimiza majukumu...
  10. Trimmer

    Tofauti na Binadamu, Siafu pia wanajishughulisha na kilimo

    Asante sana kwa somo zuri mkuu,,
Back
Top Bottom