Recent content by Trimmer

  1. Trimmer

    Hii ni kitu gani kwenye treni hii ya kisasa?

    Luhaga Mpina ana hoja,, lazima tumsikilize,,
  2. Trimmer

    Emergency fund: Unatumia njia ipi kujiwekea aina hii ya akiba?

    Basi mwenyewe nawekaga kwenye wallet laki halafu jumatatu najikuta na alf 30,, emergency fund kibongobongo ni bima ya afya tu,, mengine tusidanganyane ingawa ni muhimu sana hii kitu,,
  3. Trimmer

    Luhaga Mpina: Kuundwe Tume ya kuchunguza 'Utata' wa kifo cha Hayati Magufuli

    Naunga mkono hoja ya Luhaga Mpina
  4. Trimmer

    Mazingira yapi mazuri kati ya haya yanayokuvutia ifikapo jioni?

    Mjini ndio poa,, huku bodaboda kagonga kuku wa mjumbe,, huku kuna kigodoro mtoto wa jirani anaolewa,, huku kuna mwizi kaiba kobazi msikitini,, huku konda kamkwida abiria aliyepungukiwa shng 100,, mara chochoro jirani danga anakutaka mkapige show la buku2,, wewe mjini kuna raha yake ujue,,
  5. Trimmer

    Jiji la Arusha lamkana Mfanyabiashara Chambulo wadai 'amepotosha'

    Kijiutetezi chenu hakina mashiko,, tulieni tu msubirie hatma yenu hakuna namna,,
  6. Trimmer

    Kutoka kunibania utamu mpaka kunigeuza ndama

    Naona mwenzetu kishapata kipooza moyo cha tarehe 20, kuna ka bk 5 hapa nishakaandaa kwa ajili ya Kvant huko banda umiza tutajuana tu,,
  7. Trimmer

    Huu ni msafara Wa viongozi au mazoezi ya Msafara?

    Na bado,, huku Mange huku Makonda huku ving'ora mpaka mchanganyikiwe,,
  8. Trimmer

    Makonda ana hoja asikilizwe

    Tatizo mamaenu naye vile vibabu vi3 vinamcontrol vibaya ifike mahala ajitambue sisi tunamtambua yeye ndie rais na asimame kama kiongozi mambo ya kuogopa vizee yanatoka wapi,,? Vizee vinawashwawashwa vimestaafu lakini havitaki kustaafu,,
  9. Trimmer

    Nauliza kwani madhara ya pombe aina ya spirit yanatofautina kutegemea na aina ya pombe?

    Hapo kila moja inamata sehemu yake,, siwezi nikawa Malaika nikaagiza Smart gin hapo ni K vant kuendana na mahali hapo lakini tukikutana kwa mangi ni mwendo wa kuserv gharama bk 2 fresh unashtua nyongo muhimu kuyumba,,
  10. Trimmer

    Msafiri - Kwanza Unit

    Mwenye audio ya hii ngoma atupie tuishi nayo,, kitambo sana asee
  11. Trimmer

    Zijue Shopping Malls 10 kubwa kuliko zote Afrika.

    11, Rock City Mall Mwanza Tanzania | 57000 square meters,
  12. Trimmer

    Gharama za Umeme ni Mzigo kwa wananchi wa Kipato cha chini

    Mbaya zaidi pesa zote hizo zinaishia "kupigwa" tu na hakuna anayejali,,
  13. Trimmer

    Zijue mbinu zinazotumiwa na wezi wa magari, kisha chukua tahadhari

    Hivi bado kuna wizi wa magari,,? Mbona naona yanaegeshwa popote usiku mzima na wenyewe wanapeta,,?
Back
Top Bottom