Wakuu kwa jinsi ninavyoijua Jamii Forums nina hakika humu siwezi kukosa wataalam wa hizi kazi,, maana nimejaribu kuwapigia Dstv hawajaweza kunisaidia,,
Sababu ya kuiondoa : kwakweli nisiwe mnafiki nachukia chochote kutoka Zanzibar
Nasubiri mrejesho wakuu,,
Nawachukia sana hawa mambavu ya mbwa kujifanya kila kitu utadhani maisha wamemaliza,, wakati kazi yao ni ukuwadi kuwakuwadia wahudumu kwa wanaume domo zege,, acha waishie Butimba sasa,,
Mtu aliyechagua kuwa pekee hata akijichanganya na kuchangamana na wachanganyikao bado atakuwa asiyechanganyika,, still be alone and 1 only,, katikati ya waliochanganyika
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.