Recent content by Trimmer

  1. Trimmer

    JamiiForums Tanzania Msaada: Namna ya kuondoa channel ya ZBC kwenye DSTV,

    Maana yake nini mkuu
  2. Trimmer

    JamiiForums Tanzania Msaada: Namna ya kuondoa channel ya ZBC kwenye DSTV,

    Hunishindi mimi,, nawachukia sana
  3. Trimmer

    JamiiForums Tanzania Msaada: Namna ya kuondoa channel ya ZBC kwenye DSTV,

    Labda,, itakua ugonjwa gani ndugu Bush Dokta
  4. Trimmer

    JamiiForums Tanzania Msaada: Namna ya kuondoa channel ya ZBC kwenye DSTV,

    Sio lazima ila shida ni pale ninapotaka kuswich kutoka Tbc 1 kwenda Safari lazima nipite hapo na ndio kitu kinanichukiza mkuu,,
  5. Trimmer

    JamiiForums Tanzania Msaada: Namna ya kuondoa channel ya ZBC kwenye DSTV,

    Nisaidie namna ya kuilock mkuu
  6. Trimmer

    JamiiForums Tanzania Msaada: Namna ya kuondoa channel ya ZBC kwenye DSTV,

    Wakuu kwa jinsi ninavyoijua Jamii Forums nina hakika humu siwezi kukosa wataalam wa hizi kazi,, maana nimejaribu kuwapigia Dstv hawajaweza kunisaidia,, Sababu ya kuiondoa : kwakweli nisiwe mnafiki nachukia chochote kutoka Zanzibar Nasubiri mrejesho wakuu,,
  7. Trimmer

    JamiiForums Tanzania Askofu Nzigila: Vyombo vya habari vya kanisa tangazeni ukweli, Ukweli utabaki kuwa kweli hata watu wakiukataa

    Askofu pengine hataki vyombo vya habari vya kanisa viwe hewani,,
  8. Trimmer

    JamiiForums Tanzania Mwanza: Auawa na mabaunsa kisa Tsh 8000

    Nawachukia sana hawa mambavu ya mbwa kujifanya kila kitu utadhani maisha wamemaliza,, wakati kazi yao ni ukuwadi kuwakuwadia wahudumu kwa wanaume domo zege,, acha waishie Butimba sasa,,
  9. Trimmer

    JamiiForums Tanzania Kilichotokea Uganda leo ni somo la nani adui wa Tanzania, siku ukiujua huu ukweli utaumia sana!

    Adui wa Tanzania ni CCM Full stop,,
  10. Trimmer

    JamiiForums Tanzania Nadhani The Velvet Lounge na Sudan Hotel Temeke, ni mifano hai ya Sodoma na Gomora!

    Huu uzi bila picha wallahi sio haki kabisa,,
  11. Trimmer

    JamiiForums Tanzania KERO Kampuni za Mikopo Mtandaoni zinakiuka masharti ikiwemo kuweka Riba 52% BoT, Wizara ya Fedha mpo kimya tu!

    Asipolipa taarifa zake zitapelekwa CRB hivyo atakosa fursa ya kukopesheka na taasisi zote nchini,,
  12. Trimmer

    JamiiForums Tanzania Ni neno gani la mwisho alilosema dereva huyu?

    Drift pekee ndio itakayo kuokoa hapo,,
  13. Trimmer

    JamiiForums Tanzania FT: Manchester United 3-2 Liverpool | EPL | Old Trafford | 3 May 2026

    Man U wachumba tu kwetu,, Youll never walk alone
  14. Trimmer

    JamiiForums Tanzania Being alone is superpower

    Nature is live,,
  15. Trimmer

    JamiiForums Tanzania Being alone is superpower

    Mtu aliyechagua kuwa pekee hata akijichanganya na kuchangamana na wachanganyikao bado atakuwa asiyechanganyika,, still be alone and 1 only,, katikati ya waliochanganyika
Back
Top Bottom