Kwa mara ya kwanza nawapongeza polisi,, mnabetisha muda wa kazi, saa 1 asubuhi watu hawajapiga miswaki mshafungua vibanda vyenu, watu watafanya kazi sangapi,, mbaya zaidi mnabetisha mpaka watoto, muda wa masomo darasani nyie mnawakatia tiketi za "kausha damu" kwanza naona wanakosea kukamata...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.