Recent content by Tricker

  1. T

    Roman Abramovich: Utajiri wa Damu, Risasi na Umafia

    NAIPATAJE WHATSAPP GROUP YAKO BOSS
  2. T

    Please Tusaidieni Mimi na Mke wangu tunaumwa fangus kwenye nyeti kwa muda mrefu bila kupata

    tumia hzo for scabies Sent using Jamii Forums mobile app
  3. T

    Ushauri Gari yangu aichanganyi speed mwisho 60 tu!

    Mwenge kubwa nnaweza pata namba yako au nipe exactly location Sent using Jamii Forums mobile app
  4. T

    Hakuna kitu kinaitwa Usaliti kwenye mahusiano

    Nimekuelewa sana jombaa ila sasa sijui ni sababu ya hii pombe nnayokunywa au?ntasoma tena kesho
  5. T

    Suzuki Escudo ( 3 doors) Fuel Consumption

    Mkuu ukipata solution uje tubadilishane uzoefu.mimi nna tatizo hilohilo nna mark II grand 110 la 2002.ni zito na linakula wastani wa lita 1 kwa km 5.5 pia stering yake ni ngumu Nimebadili plugs,safisha pump kwenye tank,safisha nozel lakini wapi bado zito na linabugia wese balaa hata kama ni...
  6. T

    KAHAMA: Zaidi ya wafanyakazi 1,300 wakosa ajira baada ya mgodi wa Buzwagi kufungwa rasmi

    Mimi ni geologist by profession.hamna kitu duniani kinaitwa gm per kilo.always ni gm per ton.ni hesabu rahisi wanachukua reserve ya dhahabu iliyokua proven wanagawa na idadi ya ore itayochimbwa ili kupata hyo proven reserve ndo wanapata hyo gm per ton.nia yao ni kujua gharama ya kuchimba kila...
  7. T

    Biashara ya kuuza na kununua unga majani ya Mlonge

    Hapa dar-es-salaam
  8. T

    Biashara ya kuuza na kununua unga majani ya Mlonge

    Kwa hapa dawa bidhaa zako zinapatikana wapi
  9. T

    Bustani ya 'Eden' ipo nchi gani?

    Labda nikuulize swali,fuvu la binadamu wa kale kabisa limepatikana nchi gani?ni sehem gani wanyama wengi wanapatikana sehem 1 kwa mkupuo?ni nchi gani ambayo Mungu aliumba kila kitu kabla hajapumzka siku ya 7.mi nadhan ukijibu hayo maswali utagundua bustani ya eden ndo Tanzania/tanganyika
  10. T

    Tupeane maujanja ya Excel

    Ethos ,very good job ua doing here bro.Napata tatizo nikigonga link inaniambia ADDRESS WASNT UNDERSTOOD nashdwa kujoin.HELP PLZ
  11. T

    Utata Juu ya Kifo Cha Rais JF Kennedy

    Niunge kwenye group plz
  12. T

    Utata Juu ya Kifo Cha Rais JF Kennedy

    The bold namimi naomba uwe unanitag simulizi zakoo zoooteee.kwakweli ww ni kichwa mtu akianza kusoma makala yako akaishia katikati basi anamatatizo upstairs
  13. T

    Mkanda wa jeshi (Herpes zoster/ shingles) fahamu kuhusu dalili na tiba yake

    Mkuu kuna uhusiano gani kati ya mkanda wa jeshi na HERPES SIMPLEX....na pia je HERPES SIMPLEX ina madhara gani baada ya kukaa mda mrefu mwilini?
  14. T

    Vipele sehemu za siri

    Nenda google soma HERPES SIMPLEX VIRUS-TYPE 2 utaelewa tatizo lako na nini kimesababisha.sadly hamna tiba ya hiyo virus.
  15. T

    Mifereji ya Dhahabu: Pasipo Silaha, Chuki wala Ukatili

    Mkuu na mie naomba unitagi hiyo ya natarbartolo
Back
Top Bottom