Biashara ya kuuza na kununua unga majani ya Mlonge

Biashara ya kuuza na kununua unga majani ya Mlonge

sisi wenyewe tunahitaji. tupe faida zake
Mimi nauza majani ya mlonge..ambayo hua nakausha ndani..yakikauka naenda mashine nayasaga..nachekecha napaki kwenye vifungashion....faida zake ni hizi:inaweka sukari ya mwili sawa..inaondoa tatizo la presha ya kupanda..inatibu kansa.pumu.aleji..kifua cha mda mrefu..U.T.I .malaria sugu..unasafisha figo n ini..unakufanya usizeeke..unatibu maradhi ya mifupa..unaondoa tatizo la wasiopata usingizi..unatibu nguvu za kiume..unaondoa mabaka mwilini...n.k
 
Ungefafanua vizuri na kama una vibali vyote vya kuuza nje pia ungeweka na tupicha basi
Bado sijapata vibali..ndio nataka nianze fuatilia
d3ec03eb7c62679cc06d7039c7acd9fc.jpg
 
Mimi nauza majani ya mlonge..ambayo hua nakausha ndani..yakikauka naenda mashine nayasaga..nachekecha napaki kwenye vifungashion....faida zake ni hizi:inaweka sukari ya mwili sawa..inaondoa tatizo la presha ya kupanda..inatibu kansa.pumu.aleji..kifua cha mda mrefu..U.T.I .malaria sugu..unasafisha figo n ini..unakufanya usizeeke..unatibu maradhi ya mifupa..unaondoa tatizo la wasiopata usingizi..unatibu nguvu za kiume..unaondoa mabaka mwilini...n.k
Hapo kwenye kutozeeka hapo....
Ni bei gani hapo?
 
Huna vibali sasa kama ni sumu?
Hakuna sumu..familia yangu na baadhi ya watu wanatumia na hakuna aliekufa wala kudhuruka..zaidi tu wananishukuru kwa faida walizopata baada ya kutumia mlonge
 
Kwahiyo kuandika hivyo kwamba ndugu zako wanatumia tayar imetosha kuwa haidhuru?
Hakuna sumu..familia yangu na baadhi ya watu wanatumia na hakuna aliekufa wala kudhuruka..zaidi tu wananishukuru kwa faida walizopata baada ya kutumia mlonge
 
Mimi nauza majani ya mlonge..ambayo hua nakausha ndani..yakikauka naenda mashine nayasaga..nachekecha napaki kwenye vifungashion....faida zake ni hizi:inaweka sukari ya mwili sawa..inaondoa tatizo la presha ya kupanda..inatibu kansa.pumu.aleji..kifua cha mda mrefu..U.T.I .malaria sugu..unasafisha figo n ini..unakufanya usizeeke..unatibu maradhi ya mifupa..unaondoa tatizo la wasiopata usingizi..unatibu nguvu za kiume..unaondoa mabaka mwilini...n.k
Dawa za aina mbili tu mpaka dunia itaisha haziwezi kupatikana.
Dawa ya uzee
Na dawa kuzuia kufa
Dada fanya biashara kwa ukweli na uadilifu.
Samahani hivi babu yako km yupo hai mpaka leo hii ni kijana wa kufanana na..... wako? ila nisamehe tu
Anza kutafuta soko la uhakika ndani kisha tafuta huko ulaya, maana hao wazungu wanatuletea sisi hayo MATETESEKRIN wenyewe wanatumia haya haya majani kwa jina la kiingereza tu
 
Bado sijapata vibali..ndio nataka nianze fuatilia
d3ec03eb7c62679cc06d7039c7acd9fc.jpg
I am impressed
Safi sana umefanya kazi nzuri sana
Huku ulaya vigezo vyao ni vingi sana fuatilia na Mungu atakuongoza
Baadae ulete mrejesho na bidhaa gani zingine unaweza pack namna hiyo
Kama coffee au cashews nk
Tunaweza jadili hili in future
 
Packaging yako ni nzuri sana. Jaribu kwenda kwenye maonyesho kama sabasaba. Unaweza kupata wateja wa ndani na nje ya nchi
 
Dawa za aina mbili tu mpaka dunia itaisha haziwezi kupatikana.
Dawa ya uzee
Na dawa kuzuia kufa
Dada fanya biashara kwa ukweli na uadilifu.
Samahani hivi babu yako km yupo hai mpaka leo hii ni kijana wa kufanana na..... wako? ila nisamehe tu
Anza kutafuta soko la uhakika ndani kisha tafuta huko ulaya, maana hao wazungu wanatuletea sisi hayo MATETESEKRIN wenyewe wanatumia haya haya majani kwa jina la kiingereza tu
Nimekuelewa
 
I am impressed
Safi sana umefanya kazi nzuri sana
Huku ulaya vigezo vyao ni vingi sana fuatilia na Mungu atakuongoza
Baadae ulete mrejesho na bidhaa gani zingine unaweza pack namna hiyo
Kama coffee au cashews nk
Tunaweza jadili hili in future
Asante..ubarikiwe
 
Back
Top Bottom