Bustani ya 'Eden' ipo nchi gani?

Bustani ya 'Eden' ipo nchi gani?

Unaweza ukanipa uthibitisho kuwa hiyo gharika ilibadilisha structure..??? Na kwanini ufananishe jiografia na structure....

What is structure...??
What is geograghy..??
structure:the arrangement of and relations between the parts or elements of something complex.
geography :neno la kigiriki (orgin). maaa yake earth discription au ufafanuzi juu ya uso wa dunia.

kwa mujibu wa bibilia. gharika ikiangamiza dunia nzima.
bibilia inasema maji yakapata nguvu.
maji yakipata nguvu nenda kilosa mto mkondoa utapata mwanga.
au msimbazi. chukua hiyo case ifanye iwe dunia nzima.
ndio maana yangu kwa maji ya kawaida ya kuiacha dunia vilevile samaki wangeingezeka sio kufa.

hivyo hiyo nguvu ya maji ambayo inauwezo wa kubadili structure ya tabata msimbazi ilikuwa na uwezo wa kubadili structure ya dunia. inatosha kusema ilikuwa duniani. ila kusema ilikuwa iraq kwa sababu ya ile mito sio lazima iwe kweli. ni maoni mazuri ila sio fact
 
mwanzo 9:13-17
upinde wa mvua ungekuwa hukohuko ilikonyesha.
pia maji akifunika mlima everest wapi ambapo hapatakuwa na hayo maji duniani.
Wewe unawaza kitoto sana....

Wewe unaweza sema ni kweli nyoka(kama nyoka) ndiye aliyemdanganya Eva....

Poor you
 
maoni mazuri yaliyichanganyikana na kupanic.
jibu hoja (nuhu) sio eva mtumishi otoro...
usitawanye mtirirko
Yani wewe nahitaji nikae sawa nikufundishe Jinsi ya kuielewa biblia..

Tatizo ulilonalo ni kutafsiri biblia neno kwa neno badala ya kutafsiri maana kwa maana...
 
Hii bustani ambayo 'inasadikika' kuwa waliishi ADAMU NA HAWA/EVA ipo nchi gani?
Labda nikuulize swali,fuvu la binadamu wa kale kabisa limepatikana nchi gani?ni sehem gani wanyama wengi wanapatikana sehem 1 kwa mkupuo?ni nchi gani ambayo Mungu aliumba kila kitu kabla hajapumzka siku ya 7.mi nadhan ukijibu hayo maswali utagundua bustani ya eden ndo Tanzania/tanganyika
 
Yani wewe nahitaji nikae sawa nikufundishe Jinsi ya kuielewa biblia..

Tatizo ulilonalo ni kutafsiri biblia neno kwa neno badala ya kutafsiri maana kwa maana...
jibu hoja, sijakukataza kutumia tafsiri unazozijua au hayo mafunzo unayodhani nayahitaji
 
Wewe unawaza kitoto sana....

Wewe unaweza sema ni kweli nyoka(kama nyoka) ndiye aliyemdanganya Eva....

Poor you
Kumbe nyoka gani kama sio nyoka huyu huyu , shetani alimuingia huyu nyoka , hata ukiangalia reality baada ya ile dhahama nyoka amekuwa adui mkubwa kwa viimbe wote
 
Yaani nyie humu mnaangaika kujua bustani ya eden ilikiwa wapi , mbona jibu ni simple sana,

Bustani ya eden iko Ngorongoro Ashura, hapana Arusha

Lile eneo lote la ngorongoro ndio ilikuwa eden zamani
 
Elewa tu kwamba iko Africa.hasa Kush

JAH RASTAFARI MORNING AFRICA
 
  • Thanks
Reactions: sab
Kumbe nyoka gani kama sio nyoka huyu huyu , shetani alimuingia huyu nyoka , hata ukiangalia reality baada ya ile dhahama nyoka amekuwa adui mkubwa kwa viimbe wote
Hahahahaha....pole sana..ile ni ligha ya picha....Jews walomfanansha shetani na nyoka kutokana na ujanja wake....Wayahudi waliamini nyoka ni kiumbe mjanja sana
 
Back
Top Bottom