Mimi ni mwanahesabu,,iko hivi
A.Wanachama na wapenzi/wafurukutwa wa chama tawala wa kawaida na wafanya biashara wenye nia njema na chama kuendelea kushika dola wanaaswa kukichangia chama kiasi chochote kukamilisha ajenda ya Kura ya maoni,uchaguzi wa serekali za mitaa na uchaguzi mkuu 2015...