Huyu ndio binti Komando

Huyu ndio binti Komando

Kwanza atueleweshe vizuri kapita wapi?picha inaonesha nyuma kwa Jide,sasa ndo tuelewe alikopita au,,,tupe ufafanuzi zaidi mkuu.
 
aisee kujua mashine nzuri unaangalia sura mkuu? kuna mademu wanasura nzuri mashine haifai acha kabisa nisiseme mengi..... gadner alitulia sema kwa kuwa binadamu tunahulka ya kuchoka ndiyo kachoka kasepa ... its nature okey

Ugomvi wa watu waliowahi kushea shuka usiuingile utaumbuka
 
Msimzinguwe mtoa mada..yuko sahihi.

Gadner kapita ndio...kachapa hiyo mashine kaimwaga kisha kasepa...thats a fact. Au mulitaka asemeje? Kwamba ngoma ya gadner?....huyo ni x wa gadner...kachapa imelala kasepa.

But mzigo kama huo kuumega ilikuwa inahitaji moyo ka wa mwendawazimu vile...mie namkubali nyimbo zake tu na struggle zake kwenye maisha na ubishi wa dar....ila likija suala la kummiliki dahh...ngumu sana aisee.

Pamoja komandooooo.....aje adui mwingine

Kwani kuna shida gani kuumiliki mzigo kama huo kamanda?
 

Usiogope, kuna watu humu wanataka kuhakikisha kweli yupo single sasa? Wanataka kumpigia misele, wanajua wakikaa humo, kazi yao ni kukatika tu, wanapumzika shida kwa few years.

Ha ha ha mario aisee
 
Back
Top Bottom