Mkuu asante sana kuonyesha nia ya kushare nasi hiki unacho kijua tafadhari ukipata wasaa tupe elimu hii muhimu kwa afya zetu kwenye uzii huu huu.Natanguliza Shukrani
Ukipita ubungo opposite na terminal na Tamara pale Karibu na Bodi ya mikopo kuna misululu mirefu muda wote ,nasikia mtu ana tumia hadi masaa matatu ili zamu yake ya kujaza ifike
Hapo bado route ya mbagala hali iko hivi wa ruhusu sekta binafsi wafanye hiyo biashara.Tuna ona mtu kams Aboud anao uwezo wa kuingiza magari zaidi ya 20 mapya kwa wakati mmoja.
Pia kituo kingine kina tegemewa kujengwa chuo kikuu cha UD ,nina mategemeo makubwa hizi bei za mafuta kuendelea kupanda ita saidia ku push kujenga vituo vipya vya CNG.Pia nina matumaini katibu mkuu nishati na naibu waziri mkuu wana enda kuongeza idadi ya vituo vya CNG huu ni wakati wa Naibu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.