Resilience
JF-Expert Member
- Jan 4, 2023
- 877
- 4,106
Uongozi wa mwendokasi umekiri kwamba wameshindwa kuendesha miradi husika na hivyo wanasubiri hadi serikali inunue mfumo wa Artificial Intelligence wakuongoza magari. Hayo yamesemwa leo katika mahojiano baina ya waandishi wa habari na viongozi wa mradi husika.
Baada ya viongozi hawa kusema wamekwama, nimejaribu kuangalia umri wa kiongozi huyu, uwezo wake wa kuchakata issue nikabaini tuna watu wasio sahihi kwenye miradi yetu.
Kibiashara kuongezeka kwa abiria ni opportunity lakini kwa huyu kiongozi anatamani abiria wapungue. Kama huyu mtu yupo ofisini na analipwa salary tunategemea miradi hii iwe na ufanisi?
Baada ya viongozi hawa kusema wamekwama, nimejaribu kuangalia umri wa kiongozi huyu, uwezo wake wa kuchakata issue nikabaini tuna watu wasio sahihi kwenye miradi yetu.
Kibiashara kuongezeka kwa abiria ni opportunity lakini kwa huyu kiongozi anatamani abiria wapungue. Kama huyu mtu yupo ofisini na analipwa salary tunategemea miradi hii iwe na ufanisi?