Afya yako haiko gym, iko jikoni kwenye aina ya chakula unachokula

MURUSI

JF-Expert Member
Jun 25, 2013
4,496
8,731
Siku hizi watu wengi sana wanakomaa na Gym kwamba wananaenda kuweka mwili sawa, wanaenda kutengeneza mwili ikae sawa kiafya, wengine ni johing kila asubuhi wengine weekend.

Kitu wasichokijua ni kwamba Afya yako iko jikoni na sio kokote kule na wala sio hospitali pia. Chakula unachokula Daily kina-play asilimia kubwa sana ya Afya yako. Hizi Gym na mambo ya kizungu tu danganya toto, huwezi kuwa unaenda Gym ukitoka huko unaenfa fakamia junkfood, full wanga Daily then utegemee kuwa sawa kimwili na kiafya.

Linapokuja suala la afya Chakuka ni kitu muhimu mno, kuna usemi unasema usipokula chakula kama dawa sasa, jiandae kuja kula dawa kama chakula.

Unakuta mtu anafanya Joging na chupa ya soda, mwingine akitoka hapo anapiga kwanza Azam energy moja, mwingine anaenda fakamia junk food, hizi ni maigizo na hadaa, kuna jamaa yangu kila siku anaenda gym na chupa moja ya azam energy, niliwahi mwambia hakuna unacho kifanya hapo kwenye suala la afya.

1 4g1TCMFfVeEkGSmbhb8Eyg.jpg
 
Siku hizi watu wengi sana wanakomaa na Gym kwamba wananaenda kuweka mwili sawa, wanaenda kutengeneza mwili ikae sawa kiafya, wengine ni johing kila asubuhi wengine weekend.

Kitu wasicho kijua ni kwamba Afya yako iko jikoni na sio kokote kule na wala sio Hospitali pia. Chakula unacho kula Daily kina play asilimia kubwa sana ya Afya yako.Hizi Gym na mambo ya kizunhu tu danganya toto, huwezi kuwa unaenda Gym ukitoka huko unaenfa fakamia junkfood, full wanga Daily then utegemee kuwa sawa kimwili na kiafya.

Linapo kuja swala la afya Chakuka ni kitu muhimu mno, Kuna usemi unasema Usipo kula chakula kama Dawa sasa, jiandae kuja kula dawa kama Chakula.

Unakuta mtu ana fanya Joging na chupa ya Soda, mwingine akitoka hapo anapiga kwanza Azam energy moja, mwingine anaenda fakamia junk food, hizi ni maigizo na hadaa, kuna jama angau kila siku anaenda gym na chupa moja ya azam energy,niliwahi mwambia hakuna unacho kifanya hapo kwenye swala la afya.
Chakula bora chenye nutrition
Pia MAZOEZI muhimu Sana.

Stress free kuondoa msongo Wa mawazo.

PESA
 
You are what you eat. Kama sijakosea hili ni jina la kitabu. Watu wengi tunashishindwa kuwa na kiasi kwenye vyakula, hapa ndipo shida inapoanzia. Hii ni shida kwa miaka tunayoishi kwa sababu zamani ilikua hata ukila sana kuna kazi utafanya chakula ulichokula chote kinatumika haraka. Sa hivi mtu anafakamia mivyakula halafu anatoka ofisini na gari then nyumbani kulala.
 
Hayo yote uliyoandika yapo kwenye mjumuisho wa "Mungu wangu afya yangu"mf sijanywa soda toka mwaka 2013,unajua nani alinifundisha hayo?
Usiishi kwa kujibana hivyo....kila kitu kwa kiasi...maisha ya mwanadamu yako very vurnerable...ndo tumeumbwa hivyo.. .tule, tunywe kwa kiasi...tushughulishe miili kwa kiasi, tuipumzishe miili kwa kiasi....
Kwa jinsi tulivyoumbwa..kuna kitu lazima kimpate mwanadamu....tufurahie maisha
 
Correction Afya yako Iko kichwani(Akilini mwako)Nashangaa watu wanaojitesa Kwa diet au Mazoezi Ili wapungue ila ndio kwanza wanafutuka,....Yes because they are doing it all wrong.Siku ntaleta bandiko hapa I hope litasaidia wengi

Mkuu asante sana kuonyesha nia ya kushare nasi hiki unacho kijua tafadhari ukipata wasaa tupe elimu hii muhimu kwa afya zetu kwenye uzii huu huu.Natanguliza Shukrani
 
Mungu hapendi wajinga. Zungumzeni reality anachoeleza mleta mada kina mashiko
Na Mungu hapendi wapumbavu pia,reality ni hii sote tunaweza kuugua malaria mmoja akapona na mwingine akafa,unaweza ukaenda kutibiwa marekani, ulaya au india na bado usi make,unajua siri iliyopo chini kapeti,endelea kujifanya mjuaji.
 
Siku hizi watu wengi sana wanakomaa na Gym kwamba wananaenda kuweka mwili sawa, wanaenda kutengeneza mwili ikae sawa kiafya, wengine ni johing kila asubuhi wengine weekend.

Kitu wasichokijua ni kwamba Afya yako iko jikoni na sio kokote kule na wala sio hospitali pia. Chakula unachokula Daily kina-play asilimia kubwa sana ya Afya yako. Hizi Gym na mambo ya kizungu tu danganya toto, huwezi kuwa unaenda Gym ukitoka huko unaenfa fakamia junkfood, full wanga Daily then utegemee kuwa sawa kimwili na kiafya.

Linapokuja suala la afya Chakuka ni kitu muhimu mno, kuna usemi unasema usipokula chakula kama dawa sasa, jiandae kuja kula dawa kama chakula.

Unakuta mtu anafanya Joging na chupa ya soda, mwingine akitoka hapo anapiga kwanza Azam energy moja, mwingine anaenda fakamia junk food, hizi ni maigizo na hadaa, kuna jamaa yangu kila siku anaenda gym na chupa moja ya azam energy, niliwahi mwambia hakuna unacho kifanya hapo kwenye suala la afya.

Umechanganya Mambo bro, chakula na gym/mazoezi, vyote ni muhimu, huwezi kuwa unakula nyama, mayai,kuku, harafu unalala, bila kuchoma makaloli, harafu Uwe na afya nzuri, wewe utakuwa huna nguvu za kwenda gym,
Gym tunafsnya mazoezi ya viungo kama moyo, upige Sana, sasa we shinda jikoni,upige misosi yako, uone kama utakuwa na afya, vyote ni muhimu,
 
Umechanganya Mambo bro, chakula na gym/mazoezi, vyote ni muhimu, huwezi kuwa unakula nyama, mayai,kuku, harafu unalala, bila kuchoma makaloli, harafu Uwe na afya nzuri, wewe utakuwa huna nguvu za kwenda gym,
Gym tunafsnya mazoezi ya viungo kama moyo, upige Sana, sasa we shinda jikoni,upige misosi yako, uone kama utakuwa na afya, vyote ni muhimu,
Haijakatazwa mazoezi

Ila mazoezi hukuongezea hamu ya kula, the more you exercise the more unapata urge ya kula na viseversa. Huezi kula vyakula vyenye mafuta kila siku, nyama nyekundu sijui.pombe afu kila.siku uende gym kinachotokea pale utaendelea kupaata urge ya kula kama ulivozoea

So solution ni ku control tunavyokula, tule kwa kiasi na vyakula vinavyofaaa
 
Na Mungu hapendi wapumbavu pia,reality ni hii sote tunaweza kuugua malaria mmoja akapona na mwingine akafa,unaweza ukaenda kutibiwa marekani, ulaya au india na bado usi make,unajua siri iliyopo chini kapeti,endelea kujifanya mjuaji.
Pia imeandikwa usimjaribu bwana MUNGU wako kwa nini uishi lifestyle mbovu kimakusudi??


Unajua kabisa madhara ya kitu flani why unaichukua as optin??
 
Back
Top Bottom